Serikali: Hatujalipa kuweka tangazo jengo la Burj Khalifa lililopo Dubai

Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana wa wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burji Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,

"Ukitaka kula lazima uliwe" JK
 
Mkuu sio vyote ni kuliwa
Nashukuru mmejitokeza kunijibu lakini ndo mmeongeza maswali.
1.Ni Rais wetu peke yake aliyeenda kwenye hayo maonesho au na Marais wa nchi nyingine walikwenda na nchi zào zimewekwa Burj?
2.Je, nchi yetu haikujulikana huko Arabuni Hadi tuweke bendera Kwa gharama za bure wakati Kila siku mnatuambia Waarabu wa Oman na Dubai ni ndugu zetu na wangeweza kuifanya Zanzibar kuwa Dubai ndogo?
3.Waliotulipia tutawalipa nini, maana duniani No free Lunch.
4.Waliotulipia wanataka nini kwetu au kila wanapotaka kwenda kuwekeza wanaweka bendera ya nchi husika hapo Burj Khalifa?
5.Tangazo la kujisifia kutangazwa Burj khalifa liliwekwa as if ni kitu special Sana kimefanyika, ok ni special tujulisheni economical impact ya Tangazo hilo la gharama Kwa dakika 3 hata kama hamkulipa chochote na Nini kilichoko nyuma ya ukarimu huu wa Ghafla àmbao hatukuuona Ufaransa na Ubelgiji ambako nako kuna minara maarufu?
 
Mwaarabu akulipie matangazo bure kwa siku 30 eti kwa sababu ya"uhusiano mzuri"how do you define uhusiano mzuri..yaani akulipie trillion 2.2 kwa sababu tuu ya uhusiano mzuri..mwarabu huyu huyu..au labda uhusiano mzuri unamaanisha tumeolewa...na hiyo ni mahari...

Sio ndio hapo sasa, kuliko waweke tangazo la siku 30 la 2t, si bora watupe nusu ya hiyo hela tujenge viwanda 10 vya 100b@ vya kimkakati?
 
Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,

Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
Haya Mambo ya free lunch ndio yanayoumiza Nchi kupitia mikataba mibovu,hata Kikwete aliisha wahi kuongwa Suti,mwisho tuliona nchi ilivyogezwa shamba la bibi.ngoja tuone mwisho wa Samia, Maana akuna Siri chini ya jua yatajulikana tu
 
Hatujalipa fedha taslimu lakini mmelipa kwa kupitia mikataba iliyowekwa....kuna mahala wamefurahia
 
kuna mtu Tanzania aliwajaza watanzania upumbavu kiasi kwamba wao wanahisi kila kitu wanapigwa au hela zinatumika vibaya ila faida zake hilo bango hawajui ni watu wangapi watashawishika kutaka kujua hii nchi na kuja kuwekeza au kutalii na hapo ajira zitakuja na serikali itapata kodi ambayo itaendesha nc

kuna mtu Tanzania aliwajaza watanzania upumbavu kiasi kwamba wao wanahisi kila kitu wanapigwa au hela zinatumika vibaya ila faida zake hilo bango hawajui ni watu wangapi watashawishika kutaka kujua hii nchi na kuja kuwekeza au kutalii na hapo ajira zitakuja na serikali itapata kodi ambayo itaendesha nchi
Nonsense and stupidity! Kwamba Tanzania haijulikani mpaka ikatangazwe Dubai? Fikiria kwanza.
 
Mwaarabu akulipie matangazo bure kwa siku 30 eti kwa sababu ya"uhusiano mzuri"how do you define uhusiano mzuri..yaani akulipie trillion 2.2 kwa sababu tuu ya uhusiano mzuri..mwarabu huyu huyu..au labda uhusiano mzuri unamaanisha tumeolewa...na hiyo ni mahari...
Maneno kama haya wawe wanahaditiiana kwenye vikao vya Chama Chao huko ndani ambako Hakuna anayeweza kuhoji.
 
Msemaji wa Serikali kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema haya..

Serikali HAIJALIPIA kuweka tangazo la Tanzania katika jengo refu kuliko yote Duniani liitwalo Burj Khalifa lililopo katika Jiji la Dubai.

Tangazo hilo limewekwa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kutokana na uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi yetu na Umoja wa Falme za Kiarabu.

Utawala wa Dubai umeweka tangazo hilo kwa kutambua ziara ambayo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kaifanya Dubai na umeahidi kuendelea kuitangaza Tanzania kupitia jengo hilo maarufu.

Pia soma

===
GHARAMA zilizoelekezwa na mamlaka ya uendeshaji wa jengo refu zaidi duniani la Burj Khalifa lililoko Dubai hutoza kati ya US$ 67,000 ambazo kwa ubadilishaji fedha kwa haraka haraka inafiki TZS 150M kwa dakika 3 kuweka tangazo kwenye jengo lote hilo la Burj Khalifa.

=>Gharama kwa lisaa limoja ni jumla ya TZS 3BL,

=> Gharama kwa siku moja ni TZS42BL

=> Gharama kwa siku 30 ni TZS 2.2Trilioni,

=>Kwasababu ya mahusiano mazuri kati ya mamlaka za Tanzania na Dubai tumepewa kujitangaza bure Kabisa kwa siku 30,

Nani Kama Rais Samia Suluhu Hassan?


Hoja yangu ni nini hapa,

Kwanza, Huu ni ushahidi wa wazi kwamba sasa ni rasmi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imefunguka Kitaifa & Kimataifa,

Pili,Kupitia matangazo haya Tanzania inakwenda kupata idadi kubwa sana ya wawekezaji wa nje na watalii ambao pengine haijawahi kuwashuhudia tangu Uhuru wake,

Tatu,Rais Samia anakuwa ni Rais mwenye ushawishi zaidi kusini mwa jangwa la Sahara ndani ya muda huu mfupi ( rejelea ziara zake za Ufaransa na Ubelgiji )

Nne, Burj Khalifa ni taasisi yenye zaidi ya followers 10M kwenye akaunti zake za Tweeter, facebook,Telegram na Instagram na nimejaribu kupitia accounts hizi Tanzania ina-trend kwa kasi,
Kupanga ni kuchagua! Kwa nini isingefanyika juhudi ya hiyo offer ya tangazo ya takribani 2.2Trillion kwa mwezi iende kwenye vipaumbele muhimu vya kitaifa?
Ni sawa na kumchukua mtu maskini kabisa, na kumpeleka kwenye hotel ya kitalii, na kumwambia chakula na malazi yako (huyu mtu maskini imegharimu mamilioni kwa kwa usiku mmoja). Ni suala la hekima na ujuha tu hapa.
 
BURE KABISA... hua mnasema hivyo... Kumbuka ya BARABARA ya MOROCO MWENGE awali taarifa yenu ilisemaje na baadaye AIBU KUBWA!
 
Back
Top Bottom