FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,069
40,732
C2E1A207-0DF3-4F78-AFEA-447B69A58440.jpeg


AC126021-3443-4663-BC18-56858E270DF0.jpeg

Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo.

1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari yanatolewa kwa ajili ya nani? Maana tumeambiwa hizi kelele hazibadilishi chochote, sasa ya nini kutujibu wapiga kelele?

2.) Ni lini iliwahi tokea hapa Tanganyika pakawa na such an intense persistence, consistence na insistance ya kupinga matendo ya serikali kwa muda wa mwezi mzima bila kupumua, we are breathing bandari, day in , day out , hadi lini tutakuwa ignored?!

3.)Rais akiongea kwa sasa sauti yake inatetemeka, anaogopa nini, anaongea as if anataka kulia kwanini? Tangu lini mkuu wa nchi akatoa kauli irresponsible na ya kimipasho kama ile dhidi ya hoja serious kama za kuuzwa kwa Tanganyika, kwamba anaweka pamba masikioni?! Siasa ni Taarab?!

4.)Hadi majumbani watoto wanatuuliza tuufafanue mkataba huu wa bandari, imagine, kwa aibu kali inabidi tuwaeleze kwamba tumeuzwa kwa waarabu na waZanzibari, na huo ndio ukweli, wala sio udini au ubaguzi, ni ukweli tu., narudia kuziweka hoja hapo chini.

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

==========================
Maharage yameanza kurukaruka, bado kidogo tu...


======================
Bado kidogo tu..


======================
Masikio yanaanza kuzibuka


==========================
Update: 24/07/2023


========================
18/08/2023

 

Attachments

  • UCHAMBUZIWASEKRETARIET(1)_230606_231229.pdf
    172.2 KB · Views: 4
Mastermind wake ni JK na team yao.
Kiufupi ndio anaowasikiliza.
Wamemwambia atulie tu, hayo ni makelele na hayawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, yanapita.

Hii ni ile aliyosimulia mtu fulani, kwamba ile team inataka kusuka kitu ktk nchi ambacho wao na vizazi vyao watakula miongo na miongo hata ije serikali ipi!

Ndio hii IGA ya Dubei.
 
Mastermind wake ni JK na team yao.
Kiufupi ndio anaowasikiliza.
Wamemwambia atulie tu, hayo ni makelele na hayawezi kudumu zaidi ya miezi miwili, yanapita.

Hii ni ile aliyosimulia mtu fulani, kwamba ile team inataka kusuka kitu ktk nchi ambacho wao na vizazi vyao watakula miongo na miongo hata ije serikali ipi!

Ndio hii IGA ya Dubei.
You nailed it bro. Jk hii ni Tabia yake kama ulikuwa na utambuzi enzi zake .tulipigia makelele baadhi ya masuala mfano escrow na ufisadi kadhaa he never listened to any one sasa na huyu bibie ndo kawa exactly kama huyu jk
 
View attachment 2668869

Ikifika mwezi wa 7 , kuna ‘mbuzi’ wawili au watatu watatolewa kafara, hii ni kwa decoding binafsi ya mtiririko wa matukio takriban matano hadi kumi niliyoya -observe, na inanipelekea kuamini hivyo.

1.) Haya majibu yanayotolewa na serikali kupitia Gerson Msigwa , Kassim Majaliwa na Hamza Johari yanatolewa kwa ajili ya nani? Maana tumeambiwa hizi kelele hazibadilishi chochote, sasa ya nini kutujibu wapiga kelele?

2.) Ni lini iliwahi tokea hapa Tanganyika pakawa na such an intense persistence, consistence na insistance ya kupinga matendo ya serikali kwa muda wa mwezi mzima bila kupumua, we are breathing bandari, day in , day out , hadi lini tutakuwa ignored?!

3.)Rais akiongea kwa sasa sauti yake inatetemeka, anaogopa nini, anaongea as if anataka kulia kwanini? Tangu lini mkuu wa nchi akatoa kauli irresponsible na ya kimipasho kama ile dhidi ya hoja serious kama za kuuzwa kwa Tanganyika, kwamba anaweka pamba masikioni?! Siasa ni Taarab?!

4.)Hadi majumbani watoto wanatuuliza tuufafanue mkataba huu wa bandari, imagine, kwa aibu kali inabidi tuwaeleze kwamba tumeuzwa kwa waarabu na waZanzibari, na huo ndio ukweli, wala sio udini au ubaguzi, ni ukweli tu., narudia kuziweka hoja hapo chini.

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Hii tender, zabuni inabidi itangazwe upya kuwe na ushindani. Masharti na vipengele tuweke sisi.
 
Hii tender, zabuni inabidi itangazwe upya kuwe na ushindani. Masharti na vipengele tuweke sisi.
Hilo ndio linalotakiwa.

Haiwezekani tunaenda maonesho ya "Dubei Expo", hapo hapo, tunapeana tenda ya kuendesha bandari zote za Tanganyika.

Nchi tunaonekana kituko. Sheria za procurement tumeweka mfukoni. No ushindani. No vigezo vyetu. Yani hewala ilimradi tu.
 
Ukweli ni kitu cha ajabu sana, unaweza kujidai mjanja ukaufumbia macho kwa nje, lakini ndani lazima utaumia, hata kama kwa nje utajidai kupuuza maneno ya watu, lakini ndani lazima moyo utakuuma.

Utakuuma kwa sababu jambo ulilofanya ukidhani litakuwa siri, matokeo yake ile siri inakuwa wazi, baada ya hapo unajua fika, ule uaminifu uliokuwa nao kwa wale unaowatumikia ndio umepotea, kinachofuata baada ya hapo ni aibu na majuto, hata kama utajidai kuyapuuzia.
 
Ukweli ni kitu cha ajabu sana, unaweza kujidai mjanja ukaufumbia macho kwa nje, lakini ndani lazima utaumia, hata kama kwa nje utajidai kupuuza maneno ya watu, lakini ndani lazima moyo utakuuma.

Utakuuma kwa sababu jambo ulilofanya ukidhani litakuwa siri, matokeo yake ile siri inakuwa wazi, baada ya hapo unajua fika, ule uaminifu uliokuwa nao kwa wale unaowatumikia ndio umepotea, kinachofuata baada ya hapo ni aibu na majuto, hata kama utajidai kuyapuuzia.
Usiongeze chumvi mkataba haunaga Siri
 
Back
Top Bottom