Series (Special thread)

Series (Special thread)

Sijui wengine mkienda telegram mnapataje series ila Mimi naandika kwenye search pale jina la series kwa mfano Tehran kama picha inavyoelezea then unaingia hapo kwenye sehemu niliozungushia kwa rangi nyekundu ukifika humo click izo link utakuta episodes na subtitles zake so nimepata kuanzia episode ya 1 mpaka ya 5 zikiwa zina subtitles za english so hizi 3 zilizobaki ambayo kuanzia ya 6 mpaka ya 8 ndo hazina ila nitajua wapi pa kuzipata ila nikizipata subtitles zake nitashare
Check channel ya telegram hii hapa
 
Wakuu kwa sasa hakuna series mpya yenye maudhui,ya kipelelezi na action?,kama ipo msaada
 
OUTLANDER
20210521_234349.jpg
 
Mhhh! Kuna watu wa aina 3 bro wanaotizama movies au series:
1:Kuna wale ambayo wanaangalia series na movies zote kwa kuangalia story ya iyo movies au series.

2:Kuna wale wameangalia series ambayo wao wanaiona bora then wanaziponda series zingine kwa kuziona mbaya kwasababu anaamini series yake bora aliyoiona ni kali kuliko zingine.

3:Kuna wale wafata matukio kwenye series au movies hasa hasa ngumi, mapanga au kukimbizana kama series haina scenes izo basi utasikia imepoa.

So wewe angalia genres ya homeland then angalia series inayofanana na izo, angalia trailers na omba ushauri humu au hata washkaji zako watakwambia ipoje maana hata iyo homeland humu ndani watu wameiponda kichizi
Homeland imefakisha kinoma sijui nani huyo aliniponza mpaka nikai download kwa kuniambia inafanana na 24

Dem malaya anapigwa mashine hadi na vktoto afu eti jathusi na ndo starring, kifo cha broddy kilikua kama maigizo ndani ya igizo kumbe ndio ukweli kafa mazima na haonekani tena mpaka series inaisha
 
Homeland imefakisha kinoma sijui nani huyo aliniponza mpaka nikai download kwa kuniambia inafanana na 24

Dem malaya napigwa mashine hadi na vototo afu eti jathusi na ndo starring, kifo cha broddy kilikua kama maigizo ndani ya igizo kumbe ndio ukweli kafa mazima na haonekani tena mpaka series inaisha

Wenzio wanaekaga alama Ya Spoiler Alert
Kama unaelezea details za ndani kabisa za Movie kuna watu hawajaona huko unatoa radha
 
Homeland imefakisha kinoma sijui nani huyo aliniponza mpaka nikai download kwa kuniambia inafanana na 24

Dem malaya napigwa mashine hadi na vototo afu eti jathusi na ndo starring, kifo cha broddy kilikua kama maigizo ndani ya igizo kumbe ndio ukweli kafa mazima na haonekani tena mpaka series inaisha
Ukiangalia series kwa kuilinganisha na nyingine hutoangalia series mzee maana zina story tofauti na nina imani huyo jamaa alikwambia uangalie coz zote zinadeal na ujasusi na kuhusu demu kugongwa iyo ni kawaida maana ni jasusi na anajenga uhusiano wa kimwili kupata infoz au mambo mengine yaendelee....Tuseme hujaipenda iyo series ila ni nzuri mzee
 
hao ttcl au airtel ukipata simu ya 4G utawapenda kasi nzuri. Japo sijajaribu kasi 4G ya ttcl.

ila ninge akina popo hawalali mpaka mzigo wote ufike. kumbe huwa unategesha kisha unalala hapo ndipo hasara inapotokea maana halotel wana katabia ka kuzima data kwa sekunde kadhaa
Airtel kwenye simu hua ina crash sana, kuna siku niliweka night pack enzi zile lilikua linaanzia saa 5. Nikafungua torrent na ku resume downloads kisha nikaiacha mi nikalala zangu, ile naamka asubuhi kucheki nakuta iko vile vile.

Ikanibidi nicheki salio nikakuta kuna GB 9.5 (airtel wanakawaida ya kutoa 24hrs kwenye bundle la usiku) nikajilaumu sana nikasema usiku wa leo nakomaa nao mpaka morinie tena napiga chini simu natumia router, sio siri nilifaidi bando langu siku ile
 
Ukiangalia series kwa kuilinganisha na nyingine hutoangalia series mzee maana zina story tofauti na nina imani huyo jamaa alikwambia uangalie coz zote zinadeal na ujasusi na kuhusu demu kugongwa iyo ni kawaida maana ni jasusi na anajenga uhusiano wa kimwili kupata infoz au mambo mengine yaendelee....Tuseme hujaipenda iyo series ila ni nzuri mzee
Homeland ni nzuri ila siiweki katika viwango vya series bora za muda wote. Kama tunai categorize kwa kufuata good better and best, basi homeland ni good

nikiwa namaanisha kua cypher, 24, lupin nk are the best
 
Homeland ni nzuri ila siiweki katika viwango vya series bora za muda wote. Kama tunai categorize kwa kufuata good better and best, basi homeland ni good

nikiwa namaanisha kua cypher, 24, lupin nk are the best
Haya ni mawazo yako man na ni series ulizozipenda so sikupingi kwa ilo maana naheshimu maoni ya mtu na sio kila maoni yana mashiko ukitaka kujua ilo wewe nenda kagoogle alafu uje unipe list za best tv shows of all time ndio utajua upo wrong kinoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom