Series (Special thread)

Series (Special thread)

Umezungumzia kuhusu wingi wa views kua ni indication ya kuonesha kitu hicho ni bora na kizuri nimekupinga kua hata kitu kikiwa kibaya hakiwezi kosa watazamaji. Kumbuka kuna watu wataiangalia ili wahakikishe kua huo ubaya wake uko wapi na ndio maana nikakupa mfano wa video ya baby shark huko youtube. Kwa bahati mbaya hakuna source kamili ya kujua views kwenye series

Kusema sababu fulani ni ya kijinga kwasababu haija match na mtazamo wako sidhani kama ni hoja ya kibusara. Linapokuja swala la ubora wa series kila mtu anakipimo chake, mimi nimepima nimeona homeland haija qualify kuwekwa mzani mmoja na 24 na sijamlazimisha mwingine aone hivyo ila akiniambia mtu nimshauri sitamshauri aiangalie

Ni hoja ya mashiko kusema ni kawaida demu kugongwa na hadi vitoto kwasababu huko urusi wanafundisha michezo hiyo? kwa maana hiyo hata ushoga kwako ni fair ikiwa kuna nchi fulani inaruhusu ushoga?

Makosa uliyoyahesabu wewe kwenye 24 kuhusu plate numbers ni commonly karibia kila series/movie yapo hata hiyo homeland kuna makosa mengi kama hayo lakini sijayaona kua ni sababu ya mimi kutoipenda


1. Mfano broddy aliswali swala ya namaz asubuhi na wakati jua limechomoza

2. Asal hamid ambaye alikua mlinzi wa brody kipindi ametekwa ambaye alidaiwa kua ni gaidi wa syria. Ambapo syria lugha ya taifa ni kiarabu, neno Afsal linatamkika "Afzal" huku herufi "Z" ikitamkwa kwa high pressure. Lakini kwenye lugha ya kiasili ya kiarabu cha syria hakunaga matumizi ya "Z" kwa hiyo jina sahihi lilitakiwa kuwa "Afdal" na "D" ikisikika zaidi katika utamkwaji. Neno "Afsal" kutamkika kama "Afzal" mara nyingi hutumika kwenye lugha ya "Farsi" ambayo ni lugha ya taifa ya iran
Duuh! Unapinga idadi ya viewers kwa kufananisha na video za YouTube embu toa nfano wa series maana huwezi ukapata viewers wakae kunazia season 1 mpaka 8 alafu unacompare na video ya dks 3 au lisaa kweli una point au unabishana tu?.
Na kuhusu hakuna sehemu maalum ya kuangalia viewers mpaka nimeona wewe bado sana kwenye ulimwengu wa series omba usaidiwe 😂😂😂

Demu anagongwa na mpaka vitoto....niambie mtoto anaanzia na umri gani? Na unionyeshe kwenye iyo series uyo Carrie Mathison kagongwa na mtoto gani humo? Alafu sijui kufundisha michezo ya ushoga imekujaje hapa na pia kuhusu mashushu kufundishwa kuwalaghai iko ni kitu cha kawaida hata mashushushu wa kike wa kiafrica sio urusi tu anatumwa kuchukua infoz au uchunguzi kwenye eneo fulani anachukua uhusika wa hadi changudoa Bro alafu unasema unaangalia series za kijasusi alafu hujui kuhusu hili 😂😂😂 we bado sana.

Makosa ya same plate numbers kutumika kila la gari ni kosa la kawaida kweli kwa wazungu? Ingekuwa bongo sawa ila uliogoogle hayo makosa ya homeland ni kawaida la kwanza hata mchina hawezi kuongea maneno ya Kiingereza kwa ufasaha atachapia tu na angalia watu wa Mara wanaweka r kwenye l so ni common kabisa ila PLATE numbers ni aibu kubwa kwa mzungu ni hilo nimekuwekea ni mfano hakuna series ambayo ipo perfect Kuna hadi swala la mda kwenye 24 wamezingua sio sahihi niliandika yote nyuma huko.

Embu ngoja niishie hapa maana nabishana na mtu anaangalia series za kijasusi na upepelezi alafu anashangaa shushushu eti kugongwa akiwa anafanya upepelezi 🤣🤣🤣🤣 unalinganisha na utamaduni wakati kila nchi duniani ipo ivo I wish ukae na hata na mashushushu wa kike hapa Tanzania upate shule kidogo.

Siku njema bro
 
Duuh! Unapinga idadi ya viewers kwa kufananisha na video za YouTube embu toa nfano wa series maana huwezi ukapata viewers wakae kunazia season 1 mpaka 8 alafu unacompare na video ya dks 3 au lisaa kweli una point au unabishana tu?.
Na kuhusu hakuna sehemu maalum ya kuangalia viewers mpaka nimeona wewe bado sana kwenye ulimwengu wa series omba usaidiwe

Demu anagongwa na mpaka vitoto....niambie mtoto anaanzia na umri gani? Na unionyeshe kwenye iyo series uyo Carrie Mathison kagongwa na mtoto gani humo? Alafu sijui kufundisha michezo ya ushoga imekujaje hapa na pia kuhusu mashushu kufundishwa kuwalaghai iko ni kitu cha kawaida hata mashushushu wa kike wa kiafrica sio urusi tu anatumwa kuchukua infoz au uchunguzi kwenye eneo fulani anachukua uhusika wa hadi changudoa Bro alafu unasema unaangalia series za kijasusi alafu hujui kuhusu hili we bado sana.

Makosa ya same plate numbers kutumika kila la gari ni kosa la kawaida kweli kwa wazungu? Ingekuwa bongo sawa ila uliogoogle hayo makosa ya homeland ni kawaida la kwanza hata mchina hawezi kuongea maneno ya Kiingereza kwa ufasaha atachapia tu na angalia watu wa Mara wanaweka r kwenye l so ni common kabisa ila PLATE numbers ni aibu kubwa kwa mzungu ni hilo nimekuwekea ni mfano hakuna series ambayo ipo perfect Kuna hadi swala la mda kwenye 24 wamezingua sio sahihi niliandika yote nyuma huko.

Embu ngoja niishie hapa maana nabishana na mtu anaangalia series za kijasusi na upepelezi alafu anashangaa shushushu eti kugongwa akiwa anafanya upepelezi unalinganisha na utamaduni wakati kila nchi duniani ipo ivo I wish ukae na hata na mashushushu wa kike hapa Tanzania upate shule kidogo.

Siku njema bro
Kuhusu ukali wa series ni kwa mtazamaji mwenyewe ni mpenzi wa genre ipi...

Kuna series kama Ozark, Sneaky Pete, Your Honor,Breaking Bad,Peaky Blinders ni watu wachache sana ambao wanazisifia hizi series, kila mtu atakuambia zimepoa, wengi wao ukali wa series wanaupima na mishe mishe bila kufatilia story na genre zao..

Ukiona TV show umefika hadi Season 8,au ina season nyingi tu, ujue hiyo ni tv show bora kabsa na iko na views wa kutosha kupitia network inayoirusha, so usipoipenda wewe jua kabsa umeingia chaka kwa kutazama mgizo usiokuhusu...

Hapo juu umeelezea mengi sana, nadhani jamaa hapo juu ameitizama Homeland kwa kuilinganisha na 24,hapo ndio alipokosea..
 
IMG_0873.jpg
 
Duuh! Unapinga idadi ya viewers kwa kufananisha na video za YouTube embu toa nfano wa series maana huwezi ukapata viewers wakae kunazia season 1 mpaka 8 alafu unacompare na video ya dks 3 au lisaa kweli una point au unabishana tu?.
Na kuhusu hakuna sehemu maalum ya kuangalia viewers mpaka nimeona wewe bado sana kwenye ulimwengu wa series omba usaidiwe 😂😂😂

Demu anagongwa na mpaka vitoto....niambie mtoto anaanzia na umri gani? Na unionyeshe kwenye iyo series uyo Carrie Mathison kagongwa na mtoto gani humo? Alafu sijui kufundisha michezo ya ushoga imekujaje hapa na pia kuhusu mashushu kufundishwa kuwalaghai iko ni kitu cha kawaida hata mashushushu wa kike wa kiafrica sio urusi tu anatumwa kuchukua infoz au uchunguzi kwenye eneo fulani anachukua uhusika wa hadi changudoa Bro alafu unasema unaangalia series za kijasusi alafu hujui kuhusu hili 😂😂😂 we bado sana.

Makosa ya same plate numbers kutumika kila la gari ni kosa la kawaida kweli kwa wazungu? Ingekuwa bongo sawa ila uliogoogle hayo makosa ya homeland ni kawaida la kwanza hata mchina hawezi kuongea maneno ya Kiingereza kwa ufasaha atachapia tu na angalia watu wa Mara wanaweka r kwenye l so ni common kabisa ila PLATE numbers ni aibu kubwa kwa mzungu ni hilo nimekuwekea ni mfano hakuna series ambayo ipo perfect Kuna hadi swala la mda kwenye 24 wamezingua sio sahihi niliandika yote nyuma huko.

Embu ngoja niishie hapa maana nabishana na mtu anaangalia series za kijasusi na upepelezi alafu anashangaa shushushu eti kugongwa akiwa anafanya upepelezi 🤣🤣🤣🤣 unalinganisha na utamaduni wakati kila nchi duniani ipo ivo I wish ukae na hata na mashushushu wa kike hapa Tanzania upate shule kidogo.

Siku njema bro
Kwani views zinakua calculated kwa itifaki ipi? mtu aliyeangalia episode nzima na aliyeangalia dakika 10 za mwanzo wote hao wanahesabika kuwa wameona, mpaka hapo point ya kusema mtu kaangalia season ya 1-8 ni kichekesho na kuonesha hujui angle ya views

Carrie amegongwa mpaka na mates wake pale CIA kwa hiyo unataka kusema alikua anagongwa ilikua ni kwa ajili ya kupata info katika majukumu yake ya kikazi au alikua ana reveal tabia kua ni malaya?

Halafu unaonekana homeland ni either umesimuliwa au ulikua ukiangalia kipindi una stress za madeni, makosa ya plate number unayodai kua yapo kwenye 24, kwenye homeland ni extremely yamefanya show kuwa baffling. Nashangaa huyazungumzii

s04 e02 carrie anavyoondoka kwa dada yake aliondoka na jeep akiwa pamoja na binti yake, lakini wakati anarudi alikuja na model nyingine ya jeep huku indicators za mbele zikiwa tofauti. haya makosa uliyaona au ndo nakustua saizi?

Carrie alikua mzembe na hakuendana na uhalisia wa taaluma ambayo alikua akii-present, hakuwa na uwezo wa kutumia uongo kumshawishi target kitu ambacho kila shushushu anatakiwa kufanya

Umezungumzia kuhusu kuipima 24 na lupin katika uhalisia na umeona haifit, je hiyo homeland ime qualify?

Katika mazingira gani ya realistic CIA inaweza ikashindwa kubaini kujua tatizo la mental ill alilonalo mtu wakati wa uchunguzi wa huyo mtu kabla ya kuajiriwa? Ni mjinga tu ndo anaweza amini kua futuhi hiyo inaendana na mazingira halisi.
 
Kwani views zinakua calculated kwa itifaki ipi? mtu aliyeangalia episode nzima na aliyeangalia dakika 10 za mwanzo wote hao wanahesabika kuwa wameona, mpaka hapo point ya kusema mtu kaangalia season ya 1-8 ni kichekesho na kuonesha hujui angle ya views

Carrie amegongwa mpaka na mates wake pale CIA kwa hiyo unataka kusema alikua anagongwa ilikua ni kwa ajili ya kupata info katika majukumu yake ya kikazi au alikua ana reveal tabia kua ni malaya?

Halafu unaonekana homeland ni either umesimuliwa au ulikua ukiangalia kipindi una stress za madeni, makosa ya plate number unayodai kua yapo kwenye 24, kwenye homeland ni extremely yamefanya show kuwa baffling. Nashangaa huyazungumzii

s04 e02 carrie anavyoondoka kwa dada yake aliondoka na jeep akiwa pamoja na binti yake, lakini wakati anarudi alikuja na model nyingine ya jeep huku indicators za mbele zikiwa tofauti. haya makosa uliyaona au ndo nakustua saizi?

Carrie alikua mzembe na hakuendana na uhalisia wa taaluma ambayo alikua akii-present, hakuwa na uwezo wa kutumia uongo kumshawishi target kitu ambacho kila shushushu anatakiwa kufanya

Umezungumzia kuhusu kuipima 24 na lupin katika uhalisia na umeona haifit, je hiyo homeland ime qualify?

Katika mazingira gani ya realistic CIA inaweza ikashindwa kubaini kujua tatizo la mental ill alilonalo mtu wakati wa uchunguzi wa huyo mtu kabla ya kuajiriwa? Ni mjinga tu ndo anaweza amini kua futuhi hiyo inaendana na mazingira halisi.
Jibu swali umesema Carrie kagongwa na watoto niambie mtoto yupi huyo? Basi huko kwengine unaongea taarabu na hujaelewa iyo series unagoogle.....so jibu swali huyo mtoto ni yupi?
 
Jibu swali umesema Carrie kagongwa na watoto niambie mtoto yupi huyo? Basi huko kwengine unaongea taarabu na hujaelewa iyo series unagoogle.....so jibu swali huyo mtoto ni yupi?
Kama wewe uliiangalia na ukaielewa hiyo series ilikuaje ukashindwa kuona hizo errors ambazo nimekuonesha?...sina haja ya kumtaja huyo mtoto na kwa na kwa mtu ambaye kaanglia hiyo series kwa akili timamu ya upembuzi atakua kanielewa
 
Kama wewe uliiangalia na ukaielewa hiyo series ilikuaje ukashindwa kuona hizo errors ambazo nimekuonesha?...sina haja ya kumtaja huyo mtoto na kwa na kwa mtu ambaye kaanglia hiyo series kwa akili timamu ya upembuzi atakua kanielewa
Umeongea Uongo eti sina haja ya kumtaja huyo mtoto 😂😂😂
 
umeongea uongo eti homeland haina mistakes.... nilivyokuonesha hizo errors umeenda kuhakikisha au?
Wapi nimeandika homeland haina mistakes?
Nitajie huyo mtoto aliyegongwa na Carrie?
Hujui kausha tu man maana unatia aibu tu 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom