SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Nipo episode ya 4 hapa....aliyesajest Tehran abarikiwe sana
Nipo episode ya 4 hapa....aliyesajest Tehran abarikiwe sana
Ni action?aliyesajest Tehran abarikiwe sana
Kwanza ni series ya genre yako pendwa?Mosad 101 mbaya haieleweki visa vyake havivutii
ndioNi action?
Haya ndio mambo yangundio
mambo ya Israel na iran
Mossad wanataka kudukua system ya kijeshi ya iran je watafanikiwa?
fatilia zaidi
Mkuu ubora wa series ni interesting ya mtu na sio wingi wa rates kua ndio kipimo japo siwezi kupingana na statistics kama hizo kwa maana wanaozipa rate ni waangaliaji na mashabiki kama mimi na wewe.Haya ni mawazo yako man na ni series ulizozipenda so sikupingi kwa ilo maana naheshimu maoni ya mtu na sio kila maoni yana mashiko ukitaka kujua ilo wewe nenda kagoogle alafu uje unipe list za best tv shows of all time ndio utajua upo wrong kinoma
Point nzuri hii HATUWEZI KUPENDA KITU KIMOJA WATU WOTEKwanza ni series ya genre yako pendwa?
maana inashangaza kama ulishindwa kuelewa kua kulikua na visa vya mafunzoni na visa vya ukweli...baada ya mossad agent kuiba mamilioni ya pesa na kujizushia kifo huku mkewe akizuga anatafuta chanzo cha kifo cha mumewe,pesa ambazo ziliwafanya wauliwe na mossad agent mwenzao ambae alikua anatekeleza agizo la wakubwa wake ambapo harari anafight kujua chain nzima inavyoenda mpaka season 2 imeisha jamaa ndo ameanza kuingia kwenye kundi la ISIS kama undercover!
Inashangaza ila ndoivyo hatuwezi kupenda kitu moja watu wote!
Ndio mzee sema wameishia s02e13 izo nyingine zitaendelea mpaka julykumbe huu mzigo ulishaendelea tokea machiView attachment 1795569
Unarudia point yangu ile ile ya juu kwamba hayo ni maoni yako sio ya kila mtu maana ingekuwa imepondwa na ina viewers wachache wangeicancel kama series ya Tyrant na sio kufika mpaka season 8 na kuwa na CV iyo hapo chini.Mkuu ubora wa series ni interesting ya mtu na sio wingi wa rates kua ndio kipimo japo siwezi kupingana na statistics kama hizo kwa maana wanaozipa rate ni waangaliaji na mashabiki kama mimi na wewe.
Mimi nilipewa recommandation ya homeland kua ni nzuri kwa kupewa comparison na 24. Kwa mtu aliyeangalia 24 ukimuinesha homeland ni ngumu kumshawishi kua zinafanana
Ni kweli kuna shows ambazo zina high rates na ni bora lakini haimaanishi kila series zenye top rated ni bora kwa kila mtu. Kuna mwana hapo juu kagusia kua kuna shows zakibabe ambazo ni kali ila hazina promo kama hizi za hollwood
Na hakuna sehemu nimedai kua hayo ni mawazo yanayowakilisha watu wote, na ndio maana uko hapa unanipinga.Unarudia point yangu ile ile ya juu kwamba hayo ni maoni yako sio ya kila mtu maana ingekuwa imepondwa na ina viewers wachache wangeicancel kama series ya Tyrant na sio kufika mpaka season 8 na kuwa na CV iyo hapo chini.
Umeitaja Lupin mimi nimeiangalia na ni nzuri ila kuna watu wameangalia episodes hazifiki 5 wameiponda kwamba haipo kwenye uhalisia wa maisha ya kawaida kwamba huwezi ukamuibia mtu kizembe ivo bali ni upikwaji wa series tu ule ila wewe umeiweka kwenye better series.
Ukitaka kuangalia series fata story ndio utaenjoy ila sio kucompare maana story ni tofauti ni sawasawa na mpenzi wako wewe ndio unamuona mzuri ila wengine wanakuponda tena wanasema demu gani au sijui jamaa kapendea nini?
Na series hawaangalii imepewa rate ya ngapi kuitwa series bora bali vitu vingi pamoja na viewers
View attachment 1795633
Bro tunazungumzia series wewe unaleta mifano ya video za YouTube 😀😀 ambazo ukitafuta kiki tu unapata viewers kibao lakini sio series kama mbaya ni hasara kwa watengenezaji ambao wametumia hela irudi sasa bila viewers hakuna series hapo na series imetengenezwa kwa ajili ya viewers So huwezi pata viewers kama story mbaya.Na hakuna sehemu nimedai kua hayo ni mawazo yanayowakilisha watu wote, na ndio maana uko hapa unanipinga.
Lakini hata hoja ya viewers nayo naiweka kando kua sio kipimo cha kuifanya video/movies/series iwe bora. Kuna video ya vitoto vinadimba dimba iko youtube imegonga views bilion 8 na ndio inayoongoza kidunia lakini haimaanishi wimbo huo ni bora kuliko nyimbo zoote za youtube.
Na pia sidhani kama ni sahihi kuniringanisha na mtu huyo anayefanya relation ya kila anachokiona kwenye movies anataka kifanane hivyo hivyo kihalisia na maisha halisi ya mtaani, kama ndo hivyo basi kila series itakua ya hovyo endapo kuna point ya kihalisa kutoka mtaani itakua imepindishwa kwenye scene
Umezungumzia kuhusu wingi wa views kua ni indication ya kuonesha kitu hicho ni bora na kizuri nimekupinga kua hata kitu kikiwa kibaya hakiwezi kosa watazamaji. Kumbuka kuna watu wataiangalia ili wahakikishe kua huo ubaya wake uko wapi na ndio maana nikakupa mfano wa video ya baby shark huko youtube. Kwa bahati mbaya hakuna source kamili ya kujua views kwenye seriesBro tunazungumzia series wewe unaleta mifano ya video za YouTube 😀😀 ambazo ukitafuta kiki tu unapata viewers kibao lakini sio series kama mbaya ni hasara kwa watengenezaji ambao wametumia hela irudi sasa bila viewers hakuna series hapo na series imetengenezwa kwa ajili ya viewers So huwezi pata viewers kama story mbaya.
Pia embu soma vizuri comment yangu sijakulinganisha na huyo jamaa bali nimetoa nfano mtu asipopenda kitu anatoa sababu zozote tu hata za kijinga ili tu aiponde hadi mtu mwingine anaengalia anakushangaa ndio kama wewe sababu ulizotoa wewe hazina mashiko eti shushushu anagongwa iyo ndio hoja gani wakati urusi ni Somo ilo kwa mashushushu wa kike wanafundishwa hadi kuwalaghai wanaume kingono na wana kikosi special unatakiwa utoe hoja yenye mashiko kama 24 wameiponda Kuna plate numbers za magari zinajirudia kwenye magari tofauti hii ndio point ya msingi mzee
kama hutoelewa hadi hapo basi tupotezee tu
Mzigo makini sana, Lupin sijaitizama,ngoja niitafutie muda wake piaHii ndio the top ilifuata lupin
Duh, hadi JulyNdio mzee sema wameishia s02e13 izo nyingine zitaendelea mpaka july
Duh, hadi July
Ya pili hadi June 11Mwenye link ya telegram lupin anitumie nimemaliza season ya kwaza ya pil cjaipata bado
TV Series 101Jamani kwa yeyote anayfahamu majina ya chanel za telegram za series na movie mpya anisaide majina nitafute tafadhali!!





Channel Disclaimer: All The Content in this Channel is Either forwarded From Other Channels Or Taken From the Internet, we Don't Own Any Content.
No copyright infringement intended
We are not liable for any loss from ads.