Series (Special thread)

Series (Special thread)

Za kawaida huwa zinavumilika ila hii utadhani unaangalia porn, bisexual na homosexual utakutana navyo pia.

Series nyingi siku hizi huwa hazikosi ushoga ila vikizidi hata mimi huwa naachana nayo.

Go for it unaweza kuipenda.
Dah... Ngoja nitajarbu kuichungulia niione
 
Ebu tafuteni series moja inaitwa who killed sara..

Utakuja kunishukuru mbelelen.. Bonge moja la series..

Na kwa wale walicheck the oval kuna muondelezo wa mtoto wa ruth kuchukulia na dini ya tuthless.. Series yake inaitwa ruthless...
Ina season ngap mkuu
 
Ebu tafuteni series moja inaitwa who killed sara..

Utakuja kunishukuru mbelelen.. Bonge moja la series..

Na kwa wale walicheck the oval kuna muondelezo wa mtoto wa ruth kuchukulia na dini ya tuthless.. Series yake inaitwa ruthless...
Wambie pia zimejaa ushoga wa hali ya juu
 
aisee breaking bad wengi wanaikubali hata nadhani imepata tuzo nyingi,hata kwenye internet wengi wana ikubali sana.
season 2 bado ipo kawaida kuanzia 3 na kendelea aisee huwezi kulala usiku utata uimalize,season 3 na kuendelea ndo kazi ya mitutu na mafia wa drugs inaanza.

kuna ''how to make in America''nimeangalia kidogo,aisee seems ya ukweli sana
breaking bad is the best series ever
 
Wamarekani weusi washaanza kuielewa nchi yetu,hii series ni all american so3E11 imetoka leo,naona mchizi jordan anamtell sister wake mkewe simone yuko Tanzania 😀,niliposikia tu nikawa kama sijaelewa elewa nikaamua niweke subt kwa msisitizo 😀

20210427_201703.jpg
 
Wakuu huu mzigo niliangalia miaka ya nyuma episodes kama 3 hivi ila wiki iliyopita nikashusha wote season 1 na kumalizia season zote 8 aisee wacha watu kwenye social media wapige kelele kuhusu season 2 inatoka lini maana si mchezo humo kwenye issue za umafia alafu unakutana na warusi ndani hatari sana

View attachment 1745186
Hii nilisikiaga ilikua cancelled
 
airtel gb 10 kwa 1500 kuanzia saa sita usiku menu ile ile *149*99# kisha internet halafu siku utaona bando la usiku
Kuna ushauri wowote kuhusu bundle bora la ku download movies. Haswa zile bundle za usiku. Je!? Ni mtandao gani upo cheap na reliable speed.

Kuna mdau humu niliona post za juu hapo, ame recommend Halotel wako na vifurushi poa hasa wakati wa usiku, elfu 1500 kwa GB 5..kuanzia saa sita usiku hadi saa kumi na mbili asubuhi, so unaweza tumia GB 10 kwa shilingi elfu 3000 kutokana na kasi ya mtandao wenyewe na eneo ulipo...
 
airtel gb 10 kwa 1500 kuanzia saa sita usiku menu ile ile *149*99# kisha internet halafu siku utaona bando la usiku
kwa yule anayeishi eneo lisilokuwa na uhakika wa kupata speed bora ya Internet unampa ushauri gani.
unajua nishakula hasara mara mbili kwa hiki kifurushi cha internet ya airtel lakini pia nishabahatika kutumia GB zao 10 mara mbili
  1. kuna siku nilifuata ushauri wako kwa kujiunga saa 5, internet ikawa sipati, nikasubiria saa 6 ngoma bado mbichi.
  2. kuna siku nilijiunga saa 6, nilibadili location mpaka nikachoka (network inapanda 4g lakini internet sipati)
😀😀
=================
 
waaow unajua dae nilikua sina laini ya airtel ila kuna siku uliisifia sana nikatamani na kuisajili fasta(yaan hapa sina tigo na zantel tu,laini zingine zoote ninazo kisa bando la usiku). Mwanzoni net haikua vizuri ila saiv aiseee napata raha sana ingekua unlimited maisha yangependeza mno.

Hasara nimezipata kwa ttcl net mbovu jamani,kwenye gb 10 nikatumia 3 tu nazo kwa mbinde mno.

Halotel kwanza shuaini zao gb 5 inawahi kuisha huku nikiwa nimeshusha episode chache.

kuna siku katika kupekua pekua menu yao nikaona zawadi kwa rafiki kuangalia bundle la usiku la 1500 ni net bila kikomo ila nilipoongeza salio kwa rafiki anirushie bando ikaja sms bundle bila kikomo ila kuangalia salio la bundle ikasema nina gb 5 tu na kweli ilipofika kwenye gb tano ikakata. Halafu ili utumie hili bando zima simu kisha washa ndo linafanya kazi duh

Ushauri wangu bando kubwa tamu ila kama upo sehemu net ni tatizo potezea tu unga pale ambapo bando lipo vizuri.
kwa yule anayeishi eneo lisilokuwa na uhakika wa kupata speed bora ya Internet unampa ushauri gani.
unajua nishakula hasara mara mbili kwa hiki kifurushi cha internet ya airtel lakini pia nishabahatika kutumia GB zao 10 mara mbili
  1. kuna siku nilifuata ushauri wako kwa kujiunga saa 5, internet ikawa sipati, nikasubiria saa 6 ngoma bado mbichi.
  2. kuna siku nilijiunga saa 6, nilibadili location mpaka nikachoka (network inapanda 4g lakini internet sipati)
😀😀
=================
 
waaow unajua dae nilikua sina laini ya airtel ila kuna siku uliisifia sana nikatamani na kuisajili fasta(yaan hapa sina tigo na zantel tu,laini zingine zoote ninazo kisa bando la usiku). Mwanzoni net haikua vizuri ila saiv aiseee napata raha sana ingekua unlimited maisha yangependeza mno.
wakati huo nilikuwa nje ya mji kimasomo (zanzibar tunaita shamba), network ilikuwa inapanda 3g lakini ilikuwa ni uhakika kwa muda wote. acha nicheze tena kamari japo kwa mara ya mwisho pengine bahati itakuwa upande wangu
Hasara nimezipata kwa ttcl net mbovu jamani,lwenye gb 10 nikatumia 3 tu nazo kwa mbinde mno.
TTCL inekataa kusoma kwenye modem, nimefikiria kumuazima mdogo wangu simu ili nipate huduma yao ya usiku

Halotel internet yao ni uhakika, bahati mbaya sana wametukatia mrija wa furaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom