Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
- Thread starter
- #61
Mkuu hii breaking bad nimeishia season two naona imepoa sana even though naona inakubalika sana
aisee breaking bad wengi wanaikubali hata nadhani imepata tuzo nyingi,hata kwenye internet wengi wana ikubali sana.
season 2 bado ipo kawaida kuanzia 3 na kendelea aisee huwezi kulala usiku utata uimalize,season 3 na kuendelea ndo kazi ya mitutu na mafia wa drugs inaanza.
kuna ''how to make in America''nimeangalia kidogo,aisee seems ya ukweli sana