Baharia mweuc
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 654
- 769
Nzuri sana mzee kama tunapenda series za kuhustle mtaani, drug dealer, kusurvive na ukatili itafute iyo manAanh nimekuoata, vp lakin ni kali?
Nzuri sana mzee kama tunapenda series za kuhustle mtaani, drug dealer, kusurvive na ukatili itafute iyo manAanh nimekuoata, vp lakin ni kali?
Snowfall nomaSnowfall s04e01&02
Huu mzigo unahusu nini mkuu. Nishushebonge moja ya dude naisubiria kwa hamu season ya pili
Huu mzigo unahusu nini mkuu. Nishushe
Sijui wewe unapenda series za aina gani ila iyo inahusu Baba na mwanaye wanatoka zao senegal kuja france na mzee anapata kazi kwa tajiri ambaye baadae anambambikia kesi ya kuipa cheni na kumforce akili kosa akiwa mahabusu ila katika kumlea mwanae alimpatia kitabu cha Arsene Lupin kinachohusu kufanya mipango au wizi wa jambo kwa akili so mwanae anakisoma iko kitabu na kuwa mwizi mtaani ila bado anataka kujua nini kilitokea baba yake kukamatwa so unafanyika mnada wa iyo cheni maarufu France so anapanga njama za kuiba huo mkufu kwenye mnada na hapo ndio sakata la kujua utata wa kesi ya baba yake unaanzia hapo
Shusha Chuma hicho. Unakutana na Mtata humo Notorious Alfred Pennyworth.Hi kitu vipi nipo najiuliza hapa nifanyejeView attachment 1736827
Ndo nini maana boss.
Imetoka lini mkuu?the Godfather of Harlem season 2 episode 2 now
Wakuu mlioangalia tribe of europa vipi iko guud tupakue
tarehe 18 mkuuImetoka lini mkuu?
Exceptional mkuu . . Salute to the producers of Breaking BadLeo tena nakesha na Breaking Bad
Mkuu Blacklist imenishinda aisee. Hivi ina uzuri gani mpaka umefika Season 9 huko ?wenzangu wa blacklist tujuane tafadhali...mzigo upo season 8... niliishia episode 6. vp zimetoka nyingne?
Naona Snowfall inasifiwa sana mkuu. Ni kali kiasi hicho au ni promo tu za kisiasa ?Nasubiri mzigo uwe full ndio niangalie sitaki kuangalia episodes hizi then unasubiri zingine siku nyingine
Mkuu Blacklist imenishinda aisee. Hivi ina uzuri gani mpaka umefika Season 9 huko ?
Muulize anapenda series zenye genres za aina gani? Ndio umsaidieUmeishia season ya ngapi? Na kipi kimekushinda?
Promo za kisiasa unamaanisha nini?Naona Snowfall inasifiwa sana mkuu. Ni kali kiasi hicho au ni promo tu za kisiasa ?