Series (Special thread)

Series (Special thread)

Sasa akili za Franklin nazifananisha na za huyu dogo wa kwenye Animal Kingdom, yule Joshua J Cody
Yeah! Mzee wanaendana balaa kwenye kufikiri na kujua mipango kasoro tu Huyu Franklin Ni choka mbaya yaani hamna wa kisure kwenye familia yake Ila Joshua yeye bibi yake na ndugu walikuwa na mpunga
 
Blindspot na Teen wolf hizii nishaachaga kufatiliaaa... The 100 ikafataa maana naona hazieleweki ni Utopolo tuu movie mtu anarudisha kumbukumbu mara zinapoteee mara zinarudii...
Sema tuko tofauti nakumbuka teen wolf nilikuwa chuo aisee ni moja ya series ambayo ni mpera pera mwanzo mwisho na mastaa wa mule wote wamepata kazi sehemu nyingine fasta kuliko hata actors wa Game of thrones na kusema the 100 mbaya napo nakupinga coz Ni bonge la dude na watu tunasubiri season ya mwisho yaelekea hupendi TV shows za kuumiza kichwa mzee ndo maana unaona mbaya.
Kuna jamaa mmoja hadi tumemuita jina la kichina cz anapenda muvi za action tupu kama IP man so alikuja tukamuwekea Fast and furious ya Hobbs and shows akasema movie gani iyo mtu anachajiwa kama simu na kaanza kutuponda ofisini hadi unammind sema Ni mtu mzima yupo kwenye 40 huko Ila hapa Kati tukampa queen of South tukashangaa kaimaliza s01 mpka 4 ndani ya week 2 so nikagundua huyu hapendi action movies bali series zenye kukimbiza na Wana act watu wa kawaida na uhalisia wa maisha yetu wanadamu nikatoka hapo nikampa Hanna s01 na 2 zote kafuta, zerozerozero kafuta, treadstone kaifuta, Gangs of London kaifuta yote Cha kuchekesha nikampa Narcos in Mexico akaniambia movie gani hata hawavai nguo za kisasa nikachoka na kucheka hapo hapo 😆😆😆.
So Kila mtu anapenda vitu flani kwenye series viwepo ambavyo mtu mwingine anaona mbona hamna kitu na huko nyuma nilishasema "SERIES NI KAMA MKE AU DEMU WAKO WEWE UNAONA HUYU NI MZURI ILA MTU MWINGINE AKIANGALIA ANAKUSHANGAA WEWE HAPA UMEPENDEA NINI"
 
Ukiachana na watoto wazuri aisee hii series ina story moja unique Sana yaani iyo iyo Riverdale ni kama kusema mbwinde ya marekani Kuna drama balaa yaani Kuna mda unabaki mdomo wazi kutokana na mwanzo unaona series imekaa kitoto Sana lkni unabaki unaumiza kichwa mzee kujua mwisho wake upoje, mim nimeangalia hadi season ya 3 Ila ya 4 nimeishusha bado sijaiona nimeweka pending
Yaah! Upo sahihi kabisa mkuu.. Yani visa vyake ni continuous, bandika bandua. Hakuna kupoa kabisa!

Halafu kwa haraka haraka hapo kwenye ubao wako nimekutana na Godfather of Harlem..

hii series pamoja na kuwa na rate nzuri IMDb, haikunivutia kwa kweli.
Hiyo season ya 1 nimeicheki naona imeishaisha tu juu juu hata sijui imeishaje.

Hata hivyo nilipenda characters za kina Bumpy Johnson, Malcolm X na kuna yule kijana mmoja Black (nimemsahau jina) aliyekuwa akijihusisha na sexual affairs na demu wa kizungu, Sara.

Battle zilikuwa nyingi za kihuni ila ndio hivyo visa vyake havikunivutia sana.

Hii nilijisemea moyoni hata wakiachia season 2 sijihangaishi tena kuishusha! Pale walipoishia nami ndo nimemaliza.
 
Kuna mtu amesha angali ONCE UPON A TIME
humo ndani kuna mtu wa kuotwa rumpledtilst skin
That my alltime best series
 
Jamani kabla sijaishusha naombeni ushauri wenu Dark iko vizuri au niipotezee?
Ni bonge la series
Humo kuna mambo ya time traveling ...
Ni kali ila inahitaji utulie ndio utaelewa ukiweweseka tuu hutoelewa

Kun time dimension tatu kuna mda character wako zaidi ya mara 3 at once
Kuna past ,present na future ...kuna overlaped time dimension
Kuna forbided dimension ....
Nakushauri icheki kama uko interested na aina hyo ya series otherwise ....achana na nayo binafsi nairate 7/10
 
Ni bonge la series
Humo kuna mambo ya time traveling ...
Ni kali ila inahitaji utulie ndio utaelewa ukiweweseka tuu hutoelewa

Kun time dimension tatu kuna mda character wako zaidi ya mara 3 at once
Kuna past ,present na future ...kuna overlaped time dimension
Kuna forbided dimension ....
Nakushauri icheki kama uko interested na aina hyo ya series otherwise ....achana na nayo binafsi nairate 7/10
Bhasi siiangalii tenaa kumbe na Matheory tupu yamejaa humoo...!!
 
Yaah! Upo sahihi kabisa mkuu.. Yani visa vyake ni continuous, bandika bandua. Hakuna kupoa kabisa!

Halafu kwa haraka haraka hapo kwenye ubao wako nimekutana na Godfather of Harlem..

hii series pamoja na kuwa na rate nzuri IMDb, haikunivutia kwa kweli.
Hiyo season ya 1 nimeicheki naona imeishaisha tu juu juu hata sijui imeishaje.

Hata hivyo nilipenda characters za kina Bumpy Johnson, Malcolm X na kuna yule kijana mmoja Black (nimemsahau jina) aliyekuwa akijihusisha na sexual affairs na demu wa kizungu, Sara.

Battle zilikuwa nyingi za kihuni ila ndio hivyo visa vyake havikunivutia sana.

Hii nilijisemea moyoni hata wakiachia season 2 sijihangaishi tena kuishusha! Pale walipoishia nami ndo nimemaliza.
Yeah! Mzee story yake humo wameshindwa kuipangalia vzri cz una hamu ya kumjua uyo Gangstar lakini story yao ya kawaida niliicheck episode 1 sikuangalia nyingine Ila naivutia muda mzee
 
Wakuu Kuna Hii Kitu mpya Inaitwa Baghdad central 2020 ni hatari saana now Iko Season 1
IMG_20200805_151406_159.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaah! Upo sahihi kabisa mkuu.. Yani visa vyake ni continuous, bandika bandua. Hakuna kupoa kabisa!

Halafu kwa haraka haraka hapo kwenye ubao wako nimekutana na Godfather of Harlem..

hii series pamoja na kuwa na rate nzuri IMDb, haikunivutia kwa kweli.
Hiyo season ya 1 nimeicheki naona imeishaisha tu juu juu hata sijui imeishaje.

Hata hivyo nilipenda characters za kina Bumpy Johnson, Malcolm X na kuna yule kijana mmoja Black (nimemsahau jina) aliyekuwa akijihusisha na sexual affairs na demu wa kizungu, Sara.

Battle zilikuwa nyingi za kihuni ila ndio hivyo visa vyake havikunivutia sana.

Hii nilijisemea moyoni hata wakiachia season 2 sijihangaishi tena kuishusha! Pale walipoishia nami ndo nimemaliza.
Godfather of Harlem...nimeitizama yote, ni series nzuri,kuna muda imepoa sana, nafikiri ni kutokana na kuifanya iwe na madhari ya miaka ya nyuma sana ndio maana imechangia...
Utamu wa Godfather of Harlem, unakolezwa na story ya Malcom X, harakati zake zile za dini, bado pia humo ndani tunamuona bondia gwiji Mohammed Ali...

Kwangu mimi niliipenda, ila haihitaji haraka...habari nzuri ni kuwa imepewa tena msimu ujao, tutegemee kuiona ikirudi msimu wa pili, kwan ilipoishi ni kama ndio imeanza sasa, Bumpy Jonson kaungana tena Malcom X, na hii ni baada ya Malcom X kuona harakat za Kiislamu hazipo poa kama alivyokuwa anafikiria hapo mwanzo.
images (49).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom