D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
msaada.....unadownload vipi kwa kutumia pirate bay?
msaada.....unadownload vipi kwa kutumia pirate bay?
Download application ya utorrent kwny pc ako au simu, alafu nenda pirate bay, search iyo movie unayotaka, ukisearch utakuta link ukishafungua znaitwa magnet/torrents idownload, itafunguliwa na utorrent direct iyo link then itaanza download kupitia utorrent ipo slow but jifunze namna ya kuongeza speed latermsaada.....unadownload vipi kwa kutumia pirate bay?
msaada.....unadownload vipi kwa kutumia pirate bay?
Kama unatumia simu download app inaitwa fluid..then unacopy magnetic link utaipeleka kwenye hiyo app au itadetect yenyewe..
Kama ni pc tumia Bitcomet, ukicopy tu magneticl link itadetect direct then utadownload..
Unaposearch download file(s) lenye seeds nyingi
Download application ya utorrent kwny pc ako au simu, alafu nenda pirate bay, search iyo movie unayotaka, ukisearch utakuta link ukishafungua znaitwa magnet/torrents idownload, itafunguliwa na utorrent direct iyo link then itaanza download kupitia utorrent ipo slow but jifunze namna ya kuongeza speed later
Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
ahsante sana...kuna group nimeikuta kuanzia season 1 hadi 7......... nilikuwa natumia tovuti ya 02tvseries lakini quality ya video ni ndogo sanaNenda telegram ipo fast mara 10 ya torrent, ni simple kama whatsapp we search series unayotaka kama ivo fungua izo channel znazokuja utakuta series ndani shusha View attachment 1499893
Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
Telegram kwny izo channel utakuta quality tofaut tofauti ukikuta channel ina quality hutak nenda channel nyingine.ahsante sana...kuna group nimeikuta kuanzia season 1 hadi 7......... nilikuwa natumia tovuti ya 02tvseries lakini quality ya video ni ndogo sana
Kawaida tu mkuu kama umeshawahi kutumia torrent sites zinginemsaada.....unadownload vipi kwa kutumia pirate bay?
nimeshajifunza, nilizowea kutumia kickasstorrentsKawaida tu mkuu kama umeshawahi kutumia torrent sites zingine
Ukishafika hapa click kwenye alama nyekundu kama upinde ambayo tunaita magnet 🧲 then itakuja moja moja kwenye app ya utorrent ulioweka kwenye simu au pc yako.
Poa mkuu hazina utofauti kwenye kutumia Ila zimetofautiana kwenye interface na domain name tunimeshajifunza, nilizowea kutumia kickasstorrents
nisaidie list ya series zinazozungumzia siasa ya mashariki ya kati.....Poa mkuu hazina utofauti kwenye kutumia Ila zimetofautiana kwenye interface na domain name tu
Mhhh! Ni chache Sana nilizoangalia ambazo kwa haraka haraka ninisaidie list ya series zinazozungumzia siasa ya mashariki ya kati.....
Iongeze na Deep State pamoja na The Bureau(hii ni ya wafaransa, iko njema sana)Mhhh! Ni chache Sana nilizoangalia ambazo kwa haraka haraka ni
Tyrant (iliishia s03)
Homeland
Fauda
Gharabeeb soud
American Odyssey (Bonge la series Ila ilisitishwa baada ya kuonekana inatoa Siri za jeshi la marekani kuwatekeleza na kuua wanajeshi wake waliokwenda kwenye missions).
Ndo izo mkuu Ila zingine zinakua zinadeals na conflict na siasa za mashariki ya kati kwa vipande vya episodes then inadeals na vitu vingine kama:
Jack Ryan
Strike back
The blacklist
Unaweza kuangalia zingine hapa ambazo sijaangalia
Category:Terrorism in television - Wikipedia