kibombonya
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 326
- 566
Series ni mbaya hii sijapata kuona, imepoa haisisimui!!! Da, kwakweli kila mtu na jicho na sikio lake kwa upande wangu sijaielewa kabsaEmbu iangalie ingorbenable alafu unipe mrejesho
Series ni mbaya hii sijapata kuona, imepoa haisisimui!!! Da, kwakweli kila mtu na jicho na sikio lake kwa upande wangu sijaielewa kabsaEmbu iangalie ingorbenable alafu unipe mrejesho
Uyo demu ni hatar kwenye condor, anaua kitaalam sana, kweenye seasson 2 yule deputy director wa cia kaibukiwa mwenyewe kasema sitopigaa kelele kauliwa taratibuAhyule demu wa Condor, Leem Lubany yupo humu kumbe? Namuona na mchizi wa kati kati hapo alikuwepo kwenye series ya The Strain..
Hii si ya kukosa kabisa!
Ndo maana sijaifuta mzee cz naamini Kuna kitu na kuhusu imepoa cz imetengenezwa kizamani sio kweli cz Kuna series moja inaitwa black sails, Narcos Mexico, snowfall na peaky blinders zina mandhari ya zamani lkni zinakinukisha kimojaGodfather of Harlem...nimeitizama yote, ni series nzuri,kuna muda imepoa sana, nafikiri ni kutokana na kuifanya iwe na madhari ya miaka ya nyuma sana ndio maana imechangia...
Utamu wa Godfather of Harlem, unakolezwa na story ya Malcom X, harakati zake zile za dini, bado pia humo ndani tunamuona bondia gwiji Mohammed Ali...
Kwangu mimi niliipenda, ila haihitaji haraka...habari nzuri ni kuwa imepewa tena msimu ujao, tutegemee kuiona ikirudi msimu wa pili, kwan ilipoishi ni kama ndio imeanza sasa, Bumpy Jonson kaungana tena Malcom X, na hii ni baada ya Malcom X kuona harakat za Kiislamu hazipo poa kama alivyokuwa anafikiria hapo mwanzo.View attachment 1527901
Duuh! Ingobernable imepoa? 😳😳 Sema hujaipenda basi lkn kupoa Ni uongo na kutosisimua sio kweliSeries ni mbaya hii sijapata kuona, imepoa haisisimui!!! Da, kwakweli kila mtu na jicho na sikio lake kwa upande wangu sijaielewa kabsa
Ni kweli mzee, hizo series ulizosema hapo zote mazingira yake ni ya kizamani ila ziko poa... Ipe muda tena mzeeNdo maana sijaifuta mzee cz naamini Kuna kitu na kuhusu imepoa cz imetengenezwa kizamani sio kweli cz Kuna series moja inaitwa black sails, Narcos Mexico, snowfall na peaky blinders zina mandhari ya zamani lkni zinakinukisha kimoja
Duuh! Ingobernable imepoa? 😳😳 Sema hujaipenda basi lkn kupoa Ni uongo na kutosisimua sio kweli
Daah! Me season 1 sikuimaliza, niliifuta.Blindspot s05 ishakuwa ya kipuuzi.
Tumia BabytorrentMsaada jaman namna ya kuishusha Agent Hamilton
Msaada jaman namna ya kuishusha Agent Hamilton
Tumia Babytorrent
Hiyo ukae kwa utulivu uangalie ni kali sanaaDaaah nimeingizwa chaka nikajikuta nashusha Ozark mzigo mzima! Meh nimejuta na nimefuta bila kumaliza! Kuna wana JF wana roho kama wajumbe!
Nimeangalia kwa utulivu,series ya kawaida sana!Hiyo ukae kwa utulivu uangalie ni kali sanaa


Izo hapo mkuu so chagua mwenyewe kulingana na uwezo wa GB zako tu.Naomba link ya season 3
Ubaya nikiangalia nafuta mkuu cz external HDD yangu imeharibikaWe jamaa una series nzuri sana ninazozipenda!
Ntakupata wapi?
Shukrani mkuu.. Naomba majina ya zingine kali zenye themes kama hii pamoja na ile ya home land,,Izo hapo mkuu so chagua mwenyewe kulingana na uwezo wa GB zako tu.
Download Snowfall season 3 Torrents | 1337x
Kuna mkali mmoja alizitaja zote zinazohusiana na series za America na waarabu kwenye comments za nyuma so unaweza check na kuchukua uipendaoShukrani mkuu.. Naomba majina ya zingine kali zenye themes kama hii pamoja na ile ya home land,,
In short show flani hivi za m Amerka vs mwarabu