Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mimi huyo demu wake ndio aliniuma zaidi mzee, mtoto alikuwa wa ukweli halaf anamuelewa kinoma Franklin..
Yule mwanae alianza kuzingua ni bora walimpunguza mapema
Mwanae wa ukweli ni yule mwenye afro
Mnamzungumzia Melody?!

Huyu demu ni mkali sana..
_20200803_001757.JPG
_20200803_001744.JPG
 
Kuna series moja kali sana kwa wale wapenzi wa series za school life. Inaitwa RIVERDALE.

Humo ndani kuna Drama & Romance.
Kama tunavyojua wenzetu uzunguni huko huwa wanaanza kula life wakiwa sekondari tofauti na huku kwetu mpaka uingie chuo. Kwahiyo ma-party, mapenzi nini japo kwichi kwichi sio sana..

Nilichopendea mule wamepangilia visa vizuri sana na huwezi choka kuangalia.
Nakumbuka niliimaliza Season ya 1( Each episode takes 40 minutes) ndani ya siku moja yani sikutoka nje, ilikuwa ni mwendo wa Series/Toilet/Series/Msosi/Series/...

Chengine cha kuongezea, hawa jamaa wanaotengeneza hizi series huwa wanatupatia sana! Yani wanachagua mademu wakaliii ilimradi tu watupate wakina sisi.
Humo ndani kuna mademu warembo kichizi. Kuna demu humo namkubali sana, ni blonde hivi anaitwa Betty Copper.. Hhm nyie! Kweli wazungu wazuri wapo.

Kuna mdau anaitwa Archie, jamaa anapendwa sana na mademu. Aliwahi kutoka mpaka na mwalimu wake anaefundisha Music.
Hizi bahati tungepata wakina sie sijui ingekuwaje.

Kama unapenda series za namna hii basi hii si ya kukosa, japo mzigo una Season 4 complete.
 
Daaah nimeingizwa chaka nikajikuta nashusha Ozark mzigo mzima! Meh nimejuta na nimefuta bila kumaliza! Kuna wana JF wana roho kama wajumbe!
Sijui aliekwambia alikuaminishaje.ila kama ni mtu wakupenda visa vya taratibu iko poa tu hasa season 3 naona imekaa poa zaidi.
 
Daaah nimeingizwa chaka nikajikuta nashusha Ozark mzigo mzima! Meh nimejuta na nimefuta bila kumaliza! Kuna wana JF wana roho kama wajumbe!
Utakuwa unapenda series za action na za vurugu kama Banshee.. Ukikaa ukatulia Ozark ni mzigo mkali sana

Nasubiri final season yake ya 4
 
THE BLACKLIST season 2:
  1. kwa makadirio huyu raymond reddington atakuwa na utajiri wa kiasi gani, si kwa mizunguko hii.....
  2. wahalifu mfano wa Reddington kwenye hii dunia yetu wapo?
huyu fala simuelewi na nukuu zake za kibabe,
mchumi yeye,
mwanafilosofi yeye,
daktari yeye,
mwanahistoria yeye
lobbyist yeye

hawa ndio majasusi bwanaa si Membe na wenzake
Ahahaaaaaah!
Reddington AKA Maneno Kumi au Mr Mboyoyo!
Anasoma sana vitabu huyo muhuni.
 
Nilikuwa sijaichek condor season 2 weekend nikapakua mzigo nikakaa na savanna pemben kuchek season 2 kutokana na mishe mishe za season 1 nikawa na hamu kinouma kuchek unyama wa yule demu CIA black ops wazee wa clean up mission mama mamaaa jamaa wemetoa UTOPOLO haijawahi tokea sijui walikurupuka washenzi hawa season 1 bonge LA series ila season 2 wamezingua kinouma
 
Sana mzee, ilikuwa ni bora u mess up na Franklin ila sio huyo dogo mwenyewe afro

Umeicheki Animal Kingdom?
Yeah! Mzee nimeicheck mwanzo mpaka season ya mwisho kuitoa si mchezo humo bibi anaijenga empire yake ya wizi mwisho wa siku wanaanza kusalitiana
 
Napenda sana season za Action kama Into the badlands. Nimejaribu kuangalia Season kama ya Into the badlands nimekosa kabisa. Watu wamesifia Breaking Bad, 24, Hanna lakina hazijanivutia kabisa. Story nyingi kuliko ngumi. Banshee kidogo ila story nyingi pamoja na ngono.
Katika Season niliyoielewa mpaka keshokutwa ni INTO THE BADLANDS. Maneno mawili, ngumi zinaanza. Season zingine ni uharibifu wa bundle tu. Kama Hanna, Breaking Bad, 24, na Banshee kwangu ni uharibifu wa bundle tu.
Season gani yenye ngumi kama into the badlands?
Ni mawazo yako na sikupingi Ila Hanna Ni nzuri na inaendelea na into the Badlands imesitishwa kwa kua na story ya kitoto na ndo maana China imebadilika asa hivi haitoi muvi za mapigano ovyo ovyo kama zamani.
Kaitafute strikeback ndo itakufaa au treadstone Ila kwa vile unapenda TV shows hata kama wakiwa mabubu basi angalia strikeback
 
Kuna series moja kali sana kwa wale wapenzi wa series za school life. Inaitwa RIVERDALE.

Humo ndani kuna Drama & Romance.
Kama tunavyojua wenzetu uzunguni huko huwa wanaanza kula life wakiwa sekondari tofauti na huku kwetu mpaka uingie chuo. Kwahiyo ma-party, mapenzi nini japo kwichi kwichi sio sana..

Nilichopendea mule wamepangilia visa vizuri sana na huwezi choka kuangalia.
Nakumbuka niliimaliza Season ya 1( Each episode takes 40 minutes) ndani ya siku moja yani sikutoka nje, ilikuwa ni mwendo wa Series/Toilet/Series/Msosi/Series/...

Chengine cha kuongezea, hawa jamaa wanaotengeneza hizi series huwa wanatupatia sana! Yani wanachagua mademu wakaliii ilimradi tu watupate wakina sisi.
Humo ndani kuna mademu warembo kichizi. Kuna demu humo namkubali sana, ni blonde hivi anaitwa Betty Copper.. Hhm nyie! Kweli wazungu wazuri wapo.

Kuna mdau anaitwa Archie, jamaa anapendwa sana na mademu. Aliwahi kutoka mpaka na mwalimu wake anaefundisha Music.
Hizi bahati tungepata wakina sie sijui ingekuwaje.

Kama unapenda series za namna hii basi hii si ya kukosa, japo mzigo una Season 4 complete.
Ukiachana na watoto wazuri aisee hii series ina story moja unique Sana yaani iyo iyo Riverdale ni kama kusema mbwinde ya marekani Kuna drama balaa yaani Kuna mda unabaki mdomo wazi kutokana na mwanzo unaona series imekaa kitoto Sana lkni unabaki unaumiza kichwa mzee kujua mwisho wake upoje, mim nimeangalia hadi season ya 3 Ila ya 4 nimeishusha bado sijaiona nimeweka pending
 

Attachments

  • IMG_20200804_163547_596.jpg
    IMG_20200804_163547_596.jpg
    25.8 KB · Views: 17

Similar Discussions

Back
Top Bottom