Kwanini hukunistua nicheki salvation!!Nawapenda wote tu.
Zoo inahusu nini mpendwa?Aisee nikiwamiss sana huku maana naona wale wale ndio wachangiaji wakuu,Ila yte kwa yte zoo tamu sana,salvation usipime last ship ndo baba yao kwa sasa huku na walking dead daaaah kiukwel nmemiss wacha niangalie zoo EP 11 kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee salvation ni hatari hatariNilikuwa busy maka hata sikuona, nisamehe dear.
Imenikosha kwakweli.
Hivi huku wanawake tumebaki mimi na wewe tu!!Aisee salvation ni hatari hatari
Rejea ktk hii comment yako mase....Umemona mike eeh. Endelea Mzee baba,utachange position hapo. Mi designated naikubali sana sana lakini isubiri kwanza kwa last ship aisee. Bado hujafika kwa timbwili la shenzi moja anaitwa takehaya miller mtoto wa mama anarudi kwa Nathan James haamini,Analia. Nipo hapa nasubiri uniambie kama hata badilisha priority
Kizamani kisasa zama mapangala...in joh makini voice..NIKITA


Check zote tu mkuu hasa iyo last ship ni motoNumber 1,2,8,nishacheki plz izo apo ipi ya kiinteligensia niichekii??
sent from my iPhone 6
Tafuta Bourne hizi huwa zinaisha na ni fupifupi...ila ni kama mwendelezo hv lkn....akili nyingi sanaa hii movie..kuna Bourne identity,Bourne legacy,Bourne ultimatum,Bourne supremacy na nk..jamaa anaitwa Matt Damon....no balaa,Jason Bourne aliwatesa sana CIA....Sie wa kina Van Damme mtukumbuke na sisi jamani..
Mimi nataka muvi nzuri za kuisha siku hiyo hiyo za mission za kusisimua sisimua hivi
Hizi za game of thrones niliangalia nkaona limnyama flani hivi dubuwasha linatema Moto nikaifuta pale pale Wala sikutaka kujua kilichoendelea..muvi zenye uongo mwingi mwingi sizipendi kabisa
Naombeni mnambie ni muvi ipi ya ukweli wadau, sitaki series plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni ipi?Bado Niko nyuma kidogo nipo season two episode ya 5, nilikuwa nidharau kuja kuangalia aisee nikasema hii balaa
Zoo hiyo series moja nzuri sanaHii ni ipi?
Huyo nigga master in chief huwa ananifurahisha misimamo yake....
Ila mike anaonesha uraia kabisa......Ila kajitahidi sana mike aisee.
sana jamaaHahaha ni hatari aisee,u sound like my friend evance;Huyo nigga master in chief huwa ananifurahisha misimamo yake....
Attention on deck...hahaha alafu anavionjo fulani hv unique sanaa
Wakiicancel gues utalazwaSidhani...aisee siombi waicancel nitalia
Mhhh Quantico ni Kali ila huwa naona maruwe ruwe tu...Hapo sijazitaja zingine. Ninazo kama the good fight,quantico kama kumi tu. No more