xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,133
- 7,352
Kiukwel mm siogop yyte yule,naheshimu Uhuru wa MTU na mipaka yake,nmeshakutana na watu Tisa ambao ni wana jf inategemea tu mnakutana kwa minajili gan,tutakwepana hapa Ila kuna kipindi utahitahi kitu na mtakutana,mm nilikutana zaid na watu walioniunganishia mashamba mikoani,na pia wengine nimewapelekea simu za kuuza waliponiambia,nyumban kwao na ofisin kwao so kama Nina series na MTU anaihitaji na kama Nina muda kiukwel namwambia tu njoo uchukue,sina tatizo na MTU,watu wala dola ya nchi hii... Kwangu ni aman kwa kila kiumbe sababu nmejifunza kanuni kumi za akili na moja wapo ni kuheshimu kila MTU.
Sent using Jamii Forums mobile app
