dularwambo5
Member
- Sep 3, 2017
- 46
- 19
CNO Chief of the Navy Operation. Captain Chandler na mwenzake Mike Slattery.. ii Series sio yakukosaBalaa si kitoto dah Chandler![]()
Mkuu kwan Umeiona season 4 yake ? Me nimeangalia Episode mbili tyu ya Iyo season 4Umemona mike eeh. Endelea Mzee baba,utachange position hapo. Mi designated naikubali sana sana lakini isubiri kwanza kwa last ship aisee. Bado hujafika kwa timbwili la shenzi moja anaitwa takehaya miller mtoto wa mama anarudi kwa Nathan James haamini,Analia. Nipo hapa nasubiri uniambie kama hata badilisha priority
Dah! unalist ndogo kichizi ...uzuri zote qaliiiiiiiList angu iko hivi
1. The last ship
2. Designated survivor
3. Scorpion
4. Blindspot
5. Good behaviour
6. Salvation
Hapo sijazitaja zingine. Ninazo kama the good fight,quantico kama kumi tu. No more
Imetoka mpaka episode ya 4Mkuu kwan Umeiona season 4 yake ? Me nimeangalia Episode mbili tyu ya Iyo season 4
Nilitizama shooters season one haijanisisimua kutafuta season ya pili.
Ongezea ...Check hiii...
1.Designated survivor
2.24 legacy
3.blindspot
4.shooter
5.zoo
6.Jason Bourne series
7.scorpion
8.queen of the south
9.the last ship
10.salvation
Hutojuta ukizicheki hizo series...
Ni series za kutumia akili nyingi sanaa
Hahaha ni atari sana mkuu ...Hahaha, Season 3 imetoka juzi, itafute uone nisikumalizie uhondo.
Series imenifanya mpaka nataka kwenda Colombia kutalii sasa.
Sie wa kina Van Damme mtukumbuke na sisi jamani..
Mimi nataka muvi nzuri za kuisha siku hiyo hiyo za mission za kusisimua sisimua hivi
Hizi za game of thrones niliangalia nkaona limnyama flani hivi dubuwasha linatema Moto nikaifuta pale pale Wala sikutaka kujua kilichoendelea..muvi zenye uongo mwingi mwingi sizipendi kabisa
Naombeni mnambie ni muvi ipi ya ukweli wadau, sitaki series plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Designated nomaaa sanaaa ....jamaa wanajua aisee daaah ....kweli baada ya Mungu ni mzungu daaah ....ile series sio ya kitoto kabisaa....Niko nayo namalzia season2 ..ni tamu bt ma 1st priority ni designated...
Namuona boy wako myk haha
Ngoja nizame chimbo nanze fatilia Last ship ..nlipitezeaga kimtindo ...ila kwa moto huu lazimaa niirudieeUmemona mike eeh. Endelea Mzee baba,utachange position hapo. Mi designated naikubali sana sana lakini isubiri kwanza kwa last ship aisee. Bado hujafika kwa timbwili la shenzi moja anaitwa takehaya miller mtoto wa mama anarudi kwa Nathan James haamini,Analia. Nipo hapa nasubiri uniambie kama hata badilisha priority
Ngoja nizame chimbo nanze fatilia Last ship ..nlipitezeaga kimtindo ...ila kwa moto huu lazimaa niirudiee
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba,come back to USS Nathan JamesKama ujacheki Zoo fanya haraka sana ..maana unapitwa na mengi mnooHapo sijazitaja zingine. Ninazo kama the good fight,quantico kama kumi tu. No more
Season 4 imeanza.Weka mbali na watoto hiyo ngomaaaa. Si mchezo aisee,inavyoanza kindezi flani hivi EPs ya kwanza..wacha kabisa kuanza ya 2 na kuendelea