Series (Special thread)

Series (Special thread)

Niko nayo namalzia season2 ..ni tamu bt ma 1st priority ni designated...
Namuona boy wako myk haha
Umemona mike eeh. Endelea Mzee baba,utachange position hapo. Mi designated naikubali sana sana lakini isubiri kwanza kwa last ship aisee. Bado hujafika kwa timbwili la shenzi moja anaitwa takehaya miller mtoto wa mama anarudi kwa Nathan James haamini,Analia. Nipo hapa nasubiri uniambie kama hata badilisha priority
 
Umemona mike eeh. Endelea Mzee baba,utachange position hapo. Mi designated naikubali sana sana lakini isubiri kwanza kwa last ship aisee. Bado hujafika kwa timbwili la shenzi moja anaitwa takehaya miller mtoto wa mama anarudi kwa Nathan James haamini,Analia. Nipo hapa nasubiri uniambie kama hata badilisha priority
Ahh mase..it might be..
Bt idont thnk mama..n Mark ma words, designated season2 itakuwa tamu mpaka kisogoni...coz 1 kna sehm walizngua unajua...n kwa uzoefu wetu as Serie season1 huwa wanazngua kdg..
 
Umemona mike eeh. Endelea Mzee baba,utachange position hapo. Mi designated naikubali sana sana lakini isubiri kwanza kwa last ship aisee. Bado hujafika kwa timbwili la shenzi moja anaitwa takehaya miller mtoto wa mama anarudi kwa Nathan James haamini,Analia. Nipo hapa nasubiri uniambie kama hata badilisha priority
Nakupromis mase ntakuamisha yo 1st priority itakuwa designated...Mark ma word mamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom