Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kuna app moja inaitwa TV SHOWS ipo google play kwa wale wapenzi wa series ni msaada mzuri inakufanya usipitwe na episode na pia kujua lini inatoka inayofata.. Mi naitumia ipo bomba sana...
 
The 100 imerudi vizuri sana

Emerald city imeanza kuwa series sasa

24 legacy iko poa

Taboo safi sana iko vizuri ingawa inaonyesha ni jinsi gani wazungu walikuwa waidharau Africa
 
The 100 imerudi vizuri sana

Emerald city imeanza kuwa series sasa

24 legacy iko poa

Taboo safi sana iko vizuri ingawa inaonyesha ni jinsi gani wazungu walikuwa waidharau Africa
Iyo taboo ni kali mkuu? Au ni kawaida. The 100 mkuu imeanza kuwa kali balaa na iyo 24 legacy nilipotezea ila ngoja nianze ifwatilia ....emarald city daaah!! Ndo the best kwa sasaa
 
Jamani into the bad land bado? Kama tayari mwenye link tafadhali

Kwa mujibu wa Daniel Wu itarudi tarehe 19 March
f5369e049c9997acb12b93347da1d6ef.jpg
 
Jaman kuna moja inaitwa crossed lines binge moja la series
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom