Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,241
- 81,854
Thanks boo, ntaangalia kesho, uzee huu acha nikalale tuunashindwaje bhaaana kamamaa..!
ingia hapo, Welcome To Nkiri | Download Hollywood Movies, Series & Dramas enjoy hicho kigongo kikali..!

Thanks boo, ntaangalia kesho, uzee huu acha nikalale tuunashindwaje bhaaana kamamaa..!
ingia hapo, Welcome To Nkiri | Download Hollywood Movies, Series & Dramas enjoy hicho kigongo kikali..!

Nimekukumbuka mi pia Carleen, nimekumbuka zamani uzi ulikuwa upo active sana kina Vincenzo Jr Mr Q Dr. Mariposa Angel Nylon Depal Seran Those were the daysMissing you more,
yes ipo, uki search tu nkiri unaipata..!
Jamani na Vincenzo Jr sijui kapata tender wapi, sio kwa ubizy huu jamani nammiss sana!Nimekukumbuka mi pia Carleen, nimekumbuka zamani uzi ulikuwa upo active sana kina Vincenzo Jr Mr Q Dr. Mariposa Angel Nylon Depal Seran Those were the days
Nimekukosa pia dosho, na huwezi amini niliwaza hichi kitu majuzi, nikajiambia huu uzi mbona umepoa..!? wadau wengi wamepotea..Nimekukumbuka mi pia Carleen, nimekumbuka zamani uzi ulikuwa upo active sana kina Vincenzo Jr Mr Q Dr. Mariposa Angel Nylon Depal Seran Those were the days
Sana, natamani sana uzi urudi kama zamani tunapeana movie pia kuna jokes za hapa na pale inakuwa raha kuwa kwenye uzinatumaini wapo salama popote pale walipo, warudi tumewamiss..!
Mi piaJamani na Vincenzo Jr sijui kapata tender wapi, sio kwa ubizy huu jamani nammiss sana!
those were the best times kwa hakika, mnatazama kitu kisha mnakuja kuki discuss humu kama vile mtakifanyia exam..!😂Sana, natamani sana uzi urudi kama zamani tunapeana movie pia kuna jokes za hapa na pale inakuwa raha kuwa kwenye uzi
Soma tu kimyakimya zipo za kumwagika page mbili tatu zitakufaa!Guys naombeni mnipe orodha ndeefu ya series tofauti tofauti kali. Nataka nipakue hadi simu ijae
Daah Jf ya sasa kweli haina msaada..!Soma tu kimyakimya zipo za kumwagika page mbili tatu zitakufaa!
Kweli pamepoa humu inabidi tufanye jambo sasa,Nimekukumbuka mi pia Carleen, nimekumbuka zamani uzi ulikuwa upo active sana kina Vincenzo Jr Mr Q Dr. Mariposa Angel Nylon Depal Seran Those were the days
House of dragon mi bado sijaimaliza na hyo interview with vampire ni nzuri maana kuna mtu pia aliniambia niichekiKweli pamepoa humu inabidi tufanye jambo sasa,
Nimemaliza kuangalia House of Dragons whoo! i'm so ready for a season 4,
Nataka niianze Interview with a Vampire season 3, huku LIONESS itakua imesogea sogea baadhi ya Episodes niianze pia,
Bytheway, ulienda kuicheki Spiderman?
i did, ilikua nzuri sana pia nimefurahi kua Tom Holland bado tunae kwenye Spidey ya 5🥳🥳🥳🥳 kale kajamaa ni kama kalizaliwa kua spiderman😀
Right now Marvel Studio wapo live D23 wanatangaza cast mpya ya member wa X Men. Mwafatilia??Kweli pamepoa humu inabidi tufanye jambo sasa,
Nimemaliza kuangalia House of Dragons whoo! i'm so ready for a season 4,
Nataka niianze Interview with a Vampire season 3, huku LIONESS itakua imesogea sogea baadhi ya Episodes niianze pia,
Bytheway, ulienda kuicheki Spiderman?
i did, ilikua nzuri sana pia nimefurahi kua Tom Holland bado tunae kwenye Spidey ya 5🥳🥳🥳🥳 kale kajamaa ni kama kalizaliwa kua spiderman😀