Series (Special thread)

Series (Special thread)

Reacher S4
 

Attachments

  • 20250521_121857.jpg
    20250521_121857.jpg
    171.9 KB · Views: 13
Lori la WI-FI limepata ajali mtaani kwetu watu wanajichotea mimuvie tu. Ngoj nianze na hii balckout movie halafu nitakuja kwenye hiyo series
Screenshot_20250522-141137.png
IMG-20250519-WA0502.jpg

Series: BLACK OUT

Hii ni series ya kikorea ambayo Kuna jamaa anajikuta anahukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kusingiziwa kuwa amefanya mauaji wa watu wawili bahati mbaya huyo jamaa Hana kumbukumbu yoyote ya tukio zima la uuaji lilikuaje? na lilifanywa na Nani? na kwasababu zipi? kiasi umefanya kushindwa kujitetea na kesi yake. Baada ya kutoka jela anatafuta ukweli mzima ukoje ili dhana ya kuonekana ni muuji iyondoke hapa ndipo balaa linapoanzia
 
Vincenzo Jr nimeishia Season 2 episode ya 8 kwenye From, mzee nimeshindwaa..! naota kila siku wale viumbe, mpaka nimeacha kutazama ila bado nawaota kinachouma ni kuwa story inaendelezwa ndotoni na kuna character wanaongezeka, walaqhi' najuuuta..!!🥹
Basi Sikiliza tu usiangalie 😁😁😁 au angalia movie nyingi za kutisha ili uzoee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom