Nahisi itakuwa episode nzima wakielezea kilichotoke,SILO season 2 wameshamaliza kushoot , matarajio mwakani moja ya plot watatuonesha matukio ya nyuma kabla ya SILO kama walivyoishia kwenye season 2
Season 2 au 3 mbona sijaelewa?SILO season 2 wameshamaliza kushoot , matarajio mwakani moja ya plot watatuonesha matukio ya nyuma kabla ya SILO kama walivyoishia kwenye season 2
Hiyo Kali sanaHivi paradise imetulia? Nimecheka episode ya kwanza tu kama imenichosha
Nishakamata The Night Agent Season 2 inipotezee stress za Arsenal kwa weekend hii
View attachment 3323002
hii niliichek season 1 nikaisahau kabisa
Ngoja niidownload hii 😎Series: BLACK OUT
Hii ni series ya kikorea ambayo Kuna jamaa anajikuta anahukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kusingiziwa kuwa amefanya mauaji wa watu wawili bahati mbaya huyo jamaa Hana kumbukumbu yoyote ya tukio zima la uuaji lilikuaje? na lilifanywa na Nani? na kwasababu zipi? kiasi umefanya kushindwa kujitetea na kesi yake. Baada ya kutoka jela anatafuta ukweli mzima ukoje ili dhana ya kuonekana ni muuji iyondoke hapa ndipo balaa linapoanzia
Nikioshaona korea tu, huko kwengine simalizii kusoma..Series: BLACK OUT
Hii ni series ya kikorea ambayo Kuna jamaa anajikuta anahukumiwa kifungo cha miaka 10 kwa kusingiziwa kuwa amefanya mauaji wa watu wawili bahati mbaya huyo jamaa Hana kumbukumbu yoyote ya tukio zima la uuaji lilikuaje? na lilifanywa na Nani? na kwasababu zipi? kiasi umefanya kushindwa kujitetea na kesi yake. Baada ya kutoka jela anatafuta ukweli mzima ukoje ili dhana ya kuonekana ni muuji iyondoke hapa ndipo balaa linapoanzia
Kwa nini hupendi film za korea mkuu mbona kuna nyingine nzuri tuNikioshaona korea tu, huko kwengine simalizii kusoma..
Mimi nishajiwekea utaratibu series/movie yoyote ya kikorea siangalii hata iwe na rate ya 10/10.
Season 3 nilikosea hapoSeason 2 au 3 mbona sijaelewa?
Mimi Wahindi ndio wamenishinda kabisa😁Nikioshaona korea tu, huko kwengine simalizii kusoma..
Mimi nishajiwekea utaratibu series/movie yoyote ya kikorea siangalii hata iwe na rate ya 10/10.
Upo Kama Mimi huwa siangalii movie zaoMimi Wahindi ndio wamenishinda kabisa😁
Tatizo lao wamezidi sana uwongo yaani mtu anapaaa sana akipigwa ngumi kidogo tuUpo Kama Mimi huwa siangalii movie zao