Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hivi ni madhara ya kutazama movie nyingi ama ni nini..!? nimekuwa na tabia ya kumalizia conversation za wazungu wa watu nikiwa natazama movie..!🙌🏾

Nimesikitika zaidi baada ya kutazama the husband na Agent Kim reactivated, najikuta nawasaidia kusema the exact next words, sasa ndiyo mpaka Wakorea jamani..!??😒
 
apostle kuna muujiza huku.!.??
nini kimetokea.!??
huyu dada hapa alitukana mpaka Max na Mods wake, lakini baada ya kutumia maji na mafuta, amepona kabisa mtumee..!😂😂
Mtume Nimeponaa, nilikuwa natukana mpaka napigwa ban, sasa hivi natamka maneno ya baraka tu matusi hapana kabisa mtumee🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom