Series (Special thread)

Series (Special thread)

Mi huwa nazipenda zile horror ambazo mpaka unaogopa hata kwenda Toilet usiku, kuna movie moja nijifanya mbabe nataka niangalie usiku mida ya saa nne hivi,😃😃 ila niliishia dakika kumi tu nikasema hapana nitangalie kesho mchana😆😆
😂😂😂😂😂
Mambo ya kutazama vitu mpaka shuka likikugusa nyayo unapiga kelele me nataka..!!🙌
 
Vincenzo Jr nimeishia Season 2 episode ya 8 kwenye From, mzee nimeshindwaa..! naota kila siku wale viumbe, mpaka nimeacha kutazama ila bado nawaota kinachouma ni kuwa story inaendelezwa ndotoni na kuna character wanaongezeka, walaqhi' najuuuta..!!🥹
dah pole mwanangu kuna yule jini ana smile mda wote mule sio powa anatisha mno kuna siku nilikuwa nimetoka kariakoo saa 9 usiku nikaingia kigamboni saa 9 kama na 30 hivi aloo lile giza nilipiga yowe kwa nje nilikutana na wadau nikazani ni wale wasela wa kwenye from kumbe ni sungu sungu tu kuanzia pale safari za usiku nilisitisha walahi
 
dah pole mwanangu kuna yule jini ana smile mda wote mule sio powa anatisha mno kuna siku nilikuwa nimetoka kariakoo saa 9 usiku nikaingia kigamboni saa 9 kama na 30 hivi aloo lile giza nilipiga yowe kwa nje nilikutana na wadau nikazani ni wale wasela wa kwenye from kumbe ni sungu sungu tu kuanzia pale safari za usiku nilisitisha walahi
Unamkumusha tena huyo smiley wakati mwezako kasema anataka kuwasahau, 😅😅😅 yeye ndotoni kaishafika season 6, maana kasema akilala story inaendelea na hao jamaa wanazidi kuongezeka😆😆😆
 
IMG_20250524_055902.jpg

Namna gani pale!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom