Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 3,350
- 6,419
Shemeji mtu mbona ameshakata moto Ile Siku BIANCA alipovamia dojo la muhuniBianca amezingua sana. Yaani alikuwa na imani kuwa yeye anatosha kumlambisha mchanga bwana Jackal, tena ndani ya himaya yake!?
Ila huyu Jackal ana roho mbaya aisee, shemeji mtu nae ajiangalie sana.
Yule dingi nae anataka kumzunguka Jackal, season 2 itakuwa ya moto sana, Mungu asaidie wasituwekee ufirauni wao tu.
shemeji yake Jackal alikuwepo sema alikuwa mitungi akapigwa chuma na yule mwenzie Bianca😁