Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,165
- 123,284
Category zao hizo
Category zao hizo
Nilikuwa natazama trailer yake leo, kumbe mzigo tayari..!!🔥🔥
De nada hermosaNilikuwa natazama trailer yake leo, kumbe mzigo tayari..!!🔥🔥
muchos gracias Cassano..!!
Nimeishia njiani. Kuna lidume la kiafrika linadeka mno 😠😠😠😡😡black doves story nzuri, ila us*nge mwingi
Mimi nimefuta Kabisa naona wazungu wanaendelea kuzingua haoNimeishia njiani. Kuna lidume la kiafrika linadeka mno 😠😠😠😡😡
Mwakani season 2 inatokaNimeianza Twisted metal na Kwa hii episode ya kwanza tu naona ntaimaliza maana hizi taste za u-mad max ndio zangu, magari yakimbie sana bunduki zilie sana na u comedy Kwa mbaaali. Ingawa naona kama episodes zina dakika chache.
Amekufa mzee ,best sniper akukose paleInawezekana bianca hajafa !
Season 2 utamuona tenaAmekufa mzee ,best sniper akukose pale
Yule uwezo wake mdogo sana hawezi deal na daggan but nimefurahi yule Bianca kufaSeason 2 utamuona tena
Uwezo mkubwa sema sniper ana watu wanampa sapoti kimyakimya. Imagine yule director alimtuma bianca lakini ofisini anatoa maelezo kwamba bianca went rogue yani alikiuka maagizo na hivyo alijiamria mwenyewe. Huoni hapo hata iweje bianca lazima tu kuna mambo yata mslow down?Yule uwezo wake mdogo sana hawezi deal na daggan but nimefurahi yule Bianca kufa
Na kosa lake ni kumtambua kama mwamba ni daggan
Ngoja kwanza nitembee na hii helicopter heist. Bkack dove nimeiweka kwenye kapu la takatakaSilo
Lioness
Black doves
Murder in a Small Town
Cross
The Helicopter Heist
The Madness
Say nothing
The agency
The day of jackal
Tulsa
Senge lile hata mimi nimeacha kuangaliaNimeishia njiani. Kuna lidume la kiafrika linadeka mno 😠😠😠😡😡
Kuna movie zinavoanza hata hazivutiiNgoja kwanza nitembee na hii helicopter heist. Bkack dove nimeiweka kwenye kapu la takataka
sijaipenda...haina mvuto
Cheki hiisijaipenda...haina mvuto