Griselda inaelekea kidogo…Katika muvi/series za drug dealing na utakatishaji fesha huyu amewazidi wote. Kama unayo nyingine unayo dhani inaizidi breaking bad itaje hapa
Nimeangalia episode 1 imepooza sana nimeiacha hapo hapo.Hivi kuna ambaye ameangalia hii series? Ni nzuri au miyeyusho tu?
View attachment 3179587
Hivi kuna ambaye ameangalia hii series? Ni nzuri au miyeyusho tu?
View attachment 3179587
Kuizidi Breaking Bad hapana, ila kwa miaka ya karibuni Ozark ni kali.Katika muvi/series za drug dealing na utakatishaji fesha huyu amewazidi wote. Kama unayo nyingine unayo dhani inaizidi breaking bad itaje hapa
I am not in danger Skyler, I am the Danger😂😂
itabidi niishi nayoGriselda inaelekea kidogo…
Chuma hiki hapa. Ikitoka Vincenzo Jr ulete link
View: https://youtu.be/4KIOLMv2ItI?si=U-XC1vptdyVhU6_8
Imejaaa ushoga haifai hata kidogo Ina bahati nilitumia wifi kama ingekuwa bando la kupima ningeikatia rufaa hii series
Iko vizuriWakuu kuna hii series ya Rookies ni hatari, Kuna full drama na romance zisizoumiza, Itafute
Yeah ipo vizuri sana mkuuIko vizuri
Yeah nimeiona iko vizuriYeah ipo vizuri sana mkuu
Series kali sema wamezingua kuweka maudhui ya ushogaHapana, yule mshua ana tabia ya kumchukulia poa Jackal tangu series inaanza, yeye binafsi aliamini kuwa Bianca akipewa taarifa za mahali alipo Jackal basi anaweza kufanikisha kumuua Jackal. Lengo lake lilikuwa baada ya Bianca kumuua Jackal basi Bianca nae apotezwe hukohuko Spain.
Pia Zingatia, Bianca alipewa order ya kumuua Jackal, sio kumtia nguvuni, idea ya kumtia nguvuni Jackal ndiyo iliyomuua Bianca na ndio iliyofelisha mkakati wa yule mshua.
Awafim.tv ina dual audioSsiku movies mod ikipigwa nyundo tutatumia site gani ambayo itakuwa inatupatia zenye dual audio?
Sema quality ndogo sanaAwafim.tv ina dual audio