Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Kinachomuumiza Diamond ni mafanikio yake Watanzania tunawivu wakike sana. Alikiba anaimba nini na kisauti chake kile Diamind is the best artist in Tz ndio maana kaitangaza Tanzania kimataifa. Watanzania tuache wivu mfyuuuuuuu.

hiyo Ni kweli ,diamond kwanza Ana moyo wakusadia jamii,mfano amempa mzee gurumo gari,etc,sio kitu kidogo mtu kitu
 
Mi nahisi anayoyafanya Ney na kuyaimba kwenye nyimbo zake yawe ya Daimond bila shaka angejua Maiti kitambo sana.
 
Diamond ni msanii mwenye kipaji thabiti anastahili Sifa kwa hilo .

Tatizo lake amejisahau kuwa umaarufu alionao ndani na nje ya nchi unatokana na watanzania tena wengne wa kipato cha chini.

Style yake ya maisha imebadilika sana tangu amepata umaarufu

Anasa za wanawake anaowabadilisha kila siku na kujiita majina (km sukari ya warembo). Juzi tu amehonga gari ya kifahari kwa kimada wake.

Amefikia hata kuwadharau wale aliowakuta ktk mziki wengine walisaidia kumtoa, Bob Juniour, Ally Kiba. Kwa ufupi ni aina ya watu wasio na shukrani.

Tangu ameupata umaarufu na fedha akasahau kuwa pesa hiyo nying imetoka kwa watanzania wa maisha ya kawaida, Maneno ya kejeli yanaanza mara "sifanyi shoo ya Mil 2"
Mara kupanda ma private jet, kujipa vyeo ving, kuendekeza bifu nk.

HE HAS OUTSTANDING TALENT YES, BUY HE HAS 2B A BIT HUMBLE.

Kwanza anaonekana anadharau watanzania wote maskini.

Wacha wamzomee

umesahau dharau ya kwamba mbeya hakuna hoteli ya hadhi yake sijui akienda kwao kigoma anafikia kwenye domo lake......
 
Appoh sina ushabiki katika hili maana wote wawili nawapenda...

Ila hiyo point number one lem make some correction sio Diamond alisema hivyo hao walikua ni matapeli wa mitandaoni wakaja na gia ya Diamond na Kiba... like Diamond kasema hivi kumdis Kiba na Kiba kajibu hivi wao wakiamini ni namna ya kutangaza hiyo Saccos ya mikopo...

So wakati uchochezi unaendelea basi tuongee vitu ambavyo ni real......

sasa niliwai kumsikia mwenyewe na masikio yangu redion akimwambia qchief kua kashapotea hawezi kushinfana na yeye kimziki kihela na kwa kila kitu kwa sasa yeye kashafulia
achilia mbali masela wake wa kko waliohastle nae kabla hajatoka maana mpaka leo wanamchukia jamaa kawapotezea wana wanabembeleza kolabo anawapotezea ndio maana wamejoin team kiba
 
Siwezi kuwa na wivu kwa mtu yeyote, kila mtu amezaliwa na destiny yake. Kitendo cha kuanza kuwaza kuwa mtu anaonewa wivu ni udhaifu mkubwa sana.Unajua hela ndefu wewe? Juzi Nimelamba contract ya mil 900 kwenye kampuni yangu nije nimuonee wivu mtu asiyejua kuandika jina lake vizuri?Acha ujinga

mhhhh tutoane basi mkuu...million 900 si haba
 
that's true ILA mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,tungekuwa na umoja WA kuzomea wanasiasa mafisadi wanaokula pesa zetu nafikiri tungefanya mambo la maana

Umeongea mkuu unajua hakuna nchi iliyojaa wazawa wenye wivu na chuki kqmq Tanzania,mimi binafsi sikuona haja ya kumzomea na pia kumtaja kiba wakati anayeimba ni diamond.Kama kweli hizo ni njama za kiba na clouds malipo ni hapa hapa pia watazomea fiesta mwenzao anatoboa majuu.Kama shida yao ilkua kumwaribia kwa wageni wale mbona ni too late Davido anamkubali sana jamaa na hawezi kuanza kukubali dushelele sijui just for one night.Na muone jinsi watanzania walivyo wanafiki wanamshangilia huyo kiba na kumpa kichwa wanaacha kumsapoti kwa mambo ya maana ajipange.Yaani kitendo cha jana kilinsikitisha sana lakini kwa mtu mwenye akili timamu anajua hizo ni fitina tu mwenzao yupo next level.Mimi ni die hard fan wa Diamond mika 10000 hata ashuke vipi kama wanavyomwombea watu pia kuna fans wake tunaomwombea mema cha msingi apige kazi asisikilize mazomeo ya machoko hao.
 
Kwa kweli leo ni aibu tupu

hivi kweli hakuna watu behind haya ya leo kwa diamond maana, hata music wake na davido ilibidi warudie maana imekuwa mbaya na mgeni Davido ameona kituko leo

Diamond usiwe na wasi you are the number one

kwa kweli lazima clouds watuambie wamepanga nini leo na mic kama vile walikuwa wanazima watu wasisikike wakirudia

shame shame watanzania kuonea wivu wanaofanya bidii kuendelea

ila labda kiba alileta watu na mabasi wamzomee hii sio kawaida kabisa, as amekosea nini wananchi hadi azomewe na ndie anayepeperusha nchi yetu now na kidaidi ya wote huko nje. imagine mbele ya TI na Davido.

Sasa inatakiwa Diamond aachane na hizi level za fiesta wamekudharirisha leo clouds fm na wapambe wao. as wamempa promo kiba makusudi na ma king or what ili wamdharirishe Diamond shame on them


******

UPDATE:

WAMEMTENDA DIAMOND NA KUMZIMIA MIC, NOW MCHEZO UMENOGA T.I KAWASHUSHUA LIVE KUWA WA FIX SOUND
KATOKA STEJINI, JAMANI MUNGU ANAJUA KUJIBU WATU WABAYA. KASEMA ANARUDI IN 30 SECONDS NOW NI MADAKIKA MENGI OYEEEEEE MUNGU WA DIAMOND HALALI

EEH NA WA TIMES FM

OYEEE TO DIAMOND WETU

Mkuu mzurimie sote tunajua clouds ndo walimuua alikiba ili daimond apae,leo unasema wamemuhujumu..

SOTE tunajua clouds ndo mameneja wa diamond na ndo wamemfikisha hapo alipo,iweje useme wamemuhujumu..

Nyie ndo mnaokesha mkisema alikiba hana ela amefulia,sasa kapata wapi ela ya kukodi hao watu wakumzomea diamond.?

Angekua kiba ndo kazomewa ungesema diamind kakodi watu.???

Diamond n msanii mzuri lakin ana tabia mbovu ndo maaan watu hampend..
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa ukweli unabaki pale pale, Diamond yupo juu. Kama anavyosema mwenyewe, "mti wenye matunda ndio hupigwa mawe".
 
sasa niliwai kumsikia mwenyewe na masikio yangu redion akimwambia qchief kua kashapotea hawezi kushinfana na yeye kimziki kihela na kwa kila kitu kwa sasa yeye kashafulia
achilia mbali masela wake wa kko waliohastle nae kabla hajatoka maana mpaka leo wanamchukia jamaa kawapotezea wana wanabembeleza kolabo anawapotezea ndio maana wamejoin team kiba

Maybe YES maybe NO....

Ila wote wako juu, kwa upande wa Diamond he should learn from this then..
 
Eeh wivu wa diamond awr na kiba iweje

Eeh kiba kamwe hatamfukia akivyo paa diamobd na,kupeperusha bendera yetu. He had is time kujarivu hayo na imeshasepa.

Kuimba sio kyimba tu na akiki ya business lazima iwrpi

Ok sema maneni gani alisema diamond? Interview? Weka link tusikulize
Kwani wewe hawala yake daimond ee?
 
Na kwa nini alikua anarudia rudia kusema"Temeke na Kinondoni mambo VP?" Nahisi Ana tatizo na Ilala
 
diamond kama jaja tu,jaja alivyoifunga azam wakasema huyu ndio mwenyewe leo wanasema hana kitu kwishney so na domondo kwishney
 
nilikosana na mshikaji wangu siku aliponiambia ni shabiki wa Diamond, juzi karudi kuomba msamaha.

Roho mbaya zitawaua, piga au Diamond Platinum hamumpati! Leo ni jumapili lkn yeye anaingiza pesa wakati wewe unapiga fitina!
 
tatizo ni dharau na kujiona yupo juu ya tanzania mbona mwanzoni walikua wanambeba juu juu imekuaje jana itakua ametukana wakubwa waliotangulia

basi kama ni hivyo,ni halali yake kula za uso.ila nina wasi wasi mtoto wa ilala ali kiba kafanya fitina ya kusomba watu kwenye maroli ili kwenda kuendesha zomea zomea.si unajua tena kibongo bongo siasa ipo kila sehemu!.
 
Back
Top Bottom