Diamond ni msanii mwenye kipaji thabiti anastahili Sifa kwa hilo .
Tatizo lake amejisahau kuwa umaarufu alionao ndani na nje ya nchi unatokana na watanzania tena wengne wa kipato cha chini.
Style yake ya maisha imebadilika sana tangu amepata umaarufu
Anasa za wanawake anaowabadilisha kila siku na kujiita majina (km sukari ya warembo). Juzi tu amehonga gari ya kifahari kwa kimada wake.
Amefikia hata kuwadharau wale aliowakuta ktk mziki wengine walisaidia kumtoa, Bob Juniour, Ally Kiba. Kwa ufupi ni aina ya watu wasio na shukrani.
Tangu ameupata umaarufu na fedha akasahau kuwa pesa hiyo nying imetoka kwa watanzania wa maisha ya kawaida, Maneno ya kejeli yanaanza mara "sifanyi shoo ya Mil 2"
Mara kupanda ma private jet, kujipa vyeo ving, kuendekeza bifu nk.
HE HAS OUTSTANDING TALENT YES, BUY HE HAS 2B A BIT HUMBLE.
Kwanza anaonekana anadharau watanzania wote maskini.
Wacha wamzomee