luqman luqman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2014
- 850
- 1,403
ni mashabiki 2 cdhan kama cloudds wanahucka
Srma maneno hayo sio mnatunga
Diamond yupo juu haimbi nyimbo za bedroom anajua kuchanganya sio leo K kaishiwa pumzi
Na kiba ndio karudi kwa kutumia kuwa wana ugomvi uongo mtupu nalaxima wamewalipa watu hila kusahau wamezima mic kyharibu namba one ya diamond
Duh!!! Dalili ya mvua sio mawingu ni manyunyu... Ndo nimeyaona Leo jamani... Kitu kuzomewa mpaka wa upande wako wakugeuke inauma sana jamani.. Pole yake akae akijua hakuna marefu yasiyo na mwisho... Afu mpanda ngazi ushuka.. Mkubali mkatae mashabiki ndio majudge was mwisho.... Karibu kakang Kiba... Tumechoka na majivuno,skendo na dharau... Aliye juu usimgoje mfate huko huko...
Bora hukupoteza mda wako kwenda kukaashuhudia haka kajamaa!.
T.I. has served two terms in county jail, twice for probation violations and a federal prison bid for a U.S. federal weapons charge.
Wa tz nawakubali hapo tu..dogo ana dharau
Binti wewe noma! Unajua naanza kuku kubali jinsi unavyoona hela kudadeki. Aisee hope you break through maana nia unayo sana!! Kelele zote hizi humu ndani wewe ukaona cha muhimu kuliko vyote humu ni wapi.. safi sana.boss nipachike kwenye kampuni yako basi na mimi
Kazi ipo!!!
Jaslaws umenena sana mkuu, apate washauri wenye akili timamu na akubali kushauriwa atafika mbali zaid!!!!
Moja ya sifa kuu ya mashabiki wa huyo ni kundi flan la watu kama mahousigali,walioko kwenye balehe au kuvunja ungo na kama mtu ni mzima basi ni wale kula kulala,hawana muda wa kufikiria maisha.
Kwa wenye kujitambua/akili hawapendi mtu mwenye kujikweza kwa mambo ya kijinga.Leo habari zako za ngono zinakuwa ni habari za kitaifa kana kwamba ni yeye tu mwenye mapumbu.
Wiz Khalifa kama kuna watu wa heshima usisikilize miziki yake. Ila bana, kama ni mwanamziki wa kibongo ndo ana makosa kama hayo Marekani hawampi visa. Sisi tunapokea tu...Ha haaa!.Homeboy yani nilikuwa nacheka kwenye tv jinsi anavyopangilia matusi aiseeeee kama kutukana nimemvulia kofia sasa sipati picha wavuta bangi wenzie wiz khalifa na snoop yeye anaweza kuwa mwanafunzi kwa matusi
"Habari zake za ngono zinakuwa habari za kitaifa...."This is real a freak!(jus laughing)Mkuu umerusha jiwe gizani.
Wiz Khalifa kama kuna watu wa heshima usisikilize miziki yake. Ila bana, kama ni mwanamziki wa kibongo ndo ana makosa kama hayo Marekani hawampi visa. Sisi tunapokea tu...Ha haaa!.
Hamna kitu Dangote akija hapo kutawaka moto