Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Moja ya sifa kuu ya mashabiki wa huyo ni kundi flan la watu kama mahousigali,walioko kwenye balehe au kuvunja ungo na kama mtu ni mzima basi ni wale kula kulala,hawana muda wa kufikiria maisha.

Kwa wenye kujitambua/akili hawapendi mtu mwenye kujikweza kwa mambo ya kijinga.Leo habari zako za ngono zinakuwa ni habari za kitaifa kana kwamba ni yeye tu mwenye mapumbu.

Bila kuuliza wala kukuonana...wewe pia ni mmoja wahao mashabiki wa Msanii huyu namba moja.
Teh teh teh unafikiria maisha????
 
Watu wanasema ana dharau,...hawasemi dharau gani hasa ....huu ni mwendelezo wa akili za kipoyoyo tulizozioea kuziona kwetu uswahilini....i.e mtu akifanikiwa unamuundia zengwee halafu unashindwa kulitetea.

Anyway_hata mm namkubali Kiba kuliko domo ila kwa hili mimi siko upsnde huo

alisema Mbeya hakuna hotel ya hadhi yake wakati ye kakulia Tandale
 
atakae kupandisha ndie atakaekushusha - lord eyes

leval ya diamond kwa sasa ni ngumu kumshusha chini kwa fitna zile zile zilizowashusha wasanii wengine, leo diamond si local musician tena!
 
kweli ilikuwa hatari mvuta bangi wa atlanta kaamua kuporomosha matusi kama kameza kamusi ya matusi: "bad bitches make some noise" midume inaitikia oyooooooooo yani full vituko....achilia mbali hizo ---- na mazafanta kama ndio wimbo wa taifa....jamaaa anatukana acha kabisa

Hahaaaaaaa umenichekesha eti bad boys make some noise midume oyooooooo
 
Diamond ni msanii mwenye kipaji thabiti anastahili Sifa kwa hilo .

Tatizo lake amejisahau kuwa umaarufu alionao ndani na nje ya nchi unatokana na watanzania tena wengne wa kipato cha chini.

Style yake ya maisha imebadilika sana tangu amepata umaarufu

Anasa za wanawake anaowabadilisha kila siku na kujiita majina (km sukari ya warembo). Juzi tu amehonga gari ya kifahari kwa kimada wake.

Amefikia hata kuwadharau wale aliowakuta ktk mziki wengine walisaidia kumtoa, Bob Juniour, Ally Kiba. Kwa ufupi ni aina ya watu wasio na shukrani.

Tangu ameupata umaarufu na fedha akasahau kuwa pesa hiyo nying imetoka kwa watanzania wa maisha ya kawaida, Maneno ya kejeli yanaanza mara "sifanyi shoo ya Mil 2"
Mara kupanda ma private jet, kujipa vyeo ving, kuendekeza bifu nk.

HE HAS OUTSTANDING TALENT YES, BUY HE HAS 2B A BIT HUMBLE.

Kwanza anaonekana anadharau watanzania wote maskini.

Wacha wamzomee

Hoja zako ni dhaifu mno..

DIAMOND ni brand inayojitambua hivyo basi usitegemee akaishi maisha kama alivyokuwaga mbagala

We unataka atoze show laki mbili kama kina Young killer leo na kesho akifulia kama kina inspector haroun nani atamsaidia??

unataka asipande ndege ulitaka apande bajaji au Bodaboda??!

Cha ajabu ukiskia kina Davido wanapanda ndege.unaona kawaida lakini Mtanzania mwenzetu akipanda ndege eti unaona anapenda sifa!!'

hebu kemea hilo Pepo la umaskini lililoteka fikra zako
 
Mpwa uwe na adabu kwa wakubwa.

Kuna dot com mmoja amenielewesha na sasa na mimi naangalia live ila wasanii wetu wanatuangusha kuimba flash back. Ni Shaa peke yake na ndio nimemkubali ameimba live.

Na sasa Yamoto band wako on the stage wanaimba live. Napenda hii.

Shikamoo Mpwa...

Mie nililala sa hivi asubuhi ndio nasoma updates za wadau...
 
Yani hadi humu jf watu wanakojielewa elewa nao kizezeta kabisa wako kwenye huu ushabiki wa Diamond na Kiba, bila kutafakari nani kaanzisha hili na faida yake nini mnafanya hadi wasanii wajione wako kilomita nyingi sana mbele kuliko Q Chila, TID, Rama D, Barnaba, Amini, Ben Pol n.k lakini kumbe wote wako ligi moja maskini ya Mungu ila hawajui wanatumika kibiashara halafu watabwagwa
 
nilikosana na mshikaji wangu siku aliponiambia ni shabiki wa Diamond, juzi karudi kuomba msamaha.
 
Dharau gani ndugu mbona mnakuwa na roho za kwanini

dharau ya kwanza
1.mziki umekushinda umefulia mpaka umeenda kukopa vikoba umalizie nyumba yako

2.aje nimsaidie kolabo

3. Malizia..
 
RIP Kanumba ,ni ww pekee ambaye hukurudi nyuma pamoja nakuzomewa eti ulichemka ENGLISH Big brother.
Kuwa msanii bongo ni kazi sana diamond piga kazi achana na hilo la jana angalia mbele
Kiba sauti nzr na mshairi mazuri ila kaza bt usitumie bif hii kurudi piga masong ya ukweli na video nzr...
USIOMBE KUWA MSANII UTATESEKA SANA
ILI UWE KIOO CHA JAMII UVUMILIE KUTUKANWA

very nice comments
 
Back
Top Bottom