Eti hii nayo comment ya msomi kabisa.
dharau ya kwanza
1.mziki umekushinda umefulia mpaka umeenda kukopa vikoba umalizie nyumba yako
2.aje nimsaidie kolabo
3. Malizia..
umesahau sifuri moja ni milioni 900 lol
Mimi si muumini wa nyimbo za washika suruwali mbele. na ninawachukia sana lakini hayu jamaa ndiye namchukia zaidi hana sifa ya kuigwa na mtu yeyote.mhuni, maraya,kiburi,majivuno,uchezaji usio na sitaha kiujumla hafai ktk jamii ya watu kama sisi rabda wapumbavu tu. Eti anailetea sifa
Tanzania we ----- kweli.
unaponda sana afu utakuta una nyimbo zake kwenye simu yako
dharau ya kwanza
1.mziki umekushinda umefulia mpaka umeenda kukopa vikoba umalizie nyumba yako
2.aje nimsaidie kolabo
3. Malizia..
Kwani ni uongo???hatupendi watu wanaokula kwa jasho lao,mfano ukiulizwa why unampenda Daimond/Alikiba na kumchukua Daimond/Alikiba wengi wao huishia kubwabwaja tu.Wivu wa kike unatumaliza.
Anazomewa sababu ya kiburi,kama ni mafanikio basi Mengi na Bakhresa wangekua wanazomewa
Hiyo ndio faida ya dharau.
warumi uko wapiii
Kinachomuumiza Diamond ni mafanikio yake Watanzania tunawivu wakike sana. Alikiba anaimba nini na kisauti chake kile Diamind is the best artist in Tz ndio maana kaitangaza Tanzania kimataifa. Watanzania tuache wivu mfyuuuuuuu.
Dharau mbaya,huku kwetu Tabata kuna jamaa mchoma nyama anaitwa Mfojo,alianza dharau baada ya kushika pesa zetu za kutosha hivi sasa sio Mfojo tena bali ni Mchovu yeye na wafanyakazi wake utafikiri hawajawahi kushika thumni!watu wamewasuasa.
dharau ya kwanza
1.mziki umekushinda umefulia mpaka umeenda kukopa vikoba umalizie nyumba yako
2.aje nimsaidie kolabo
3. Malizia..
that's true ILA mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,tungekuwa na umoja WA kuzomea wanasiasa mafisadi wanaokula pesa zetu nafikiri tungefanya mambo la maana