Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,323
Kairusha kofia atakaeidaka kesho lazima awe maarufu
Na kilema juu
Kairusha kofia atakaeidaka kesho lazima awe maarufu
Ataitunza mpaka afe.
Aah vijana wengi wanafki..unamchukia Dimond halafu wakati cku ya harusi yako ulipigiwa my number one na ukacheza nusu ya kufa, unamchukia Dimond wakati kila ciku kabla ya kulala lazima usikilize wimbo wa ukimuona
Roozey alibaki kubweka tu kama mbwa. Wo wo wo mpaka show inaisha.
Siwezi kuwa na wivu kwa mtu yeyote, kila mtu amezaliwa na destiny yake. Kitendo cha kuanza kuwaza kuwa mtu anaonewa wivu ni udhaifu mkubwa sana.Unajua hela ndefu wewe? Juzi Nimelamba contract ya mil 900 kwenye kampuni yangu nije nimuonee wivu mtu asiyejua kuandika jina lake vizuri?Acha ujinga
Siwezi kuwa na wivu kwa mtu yeyote, kila mtu amezaliwa na destiny yake. Kitendo cha kuanza kuwaza kuwa mtu anaonewa wivu ni udhaifu mkubwa sana.Unajua hela ndefu wewe? Juzi Nimelamba contract ya mil 900 kwenye kampuni yangu nije nimuonee wivu mtu asiyejua kuandika jina lake vizuri?Acha ujinga
TI yuko bwaksiii....kapata uwanja wa kuwatukana haters wanaomdiss....kazi ipo
Alivyo jitambulisha utafikiri JOHN CENA akitamba mbele ya mpinzani wake kwenye mieleka hahaa
Ha ha ha! Nilikuwa sitaki ku-comment kwenye hii thread ila nilivyofika hapa imebidi nicheke!
Mikwara ya rhymes ni kwere asee! Ile ya rozay sio! Bora hata ya King easy wa Ololoo!
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
We utakuwa punguani au hamnazo kabisa, maneno yako ni ishara tosha unachuki binafsi na dai. Ulimuita akusaidie kusain hiyo deal yako akashindwa kuandika jina? Unaakili za kuku tatizo mxiuuuuu