Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,135
Kwa watu wa fulsa the Domo and Kiba ni deal la ukweli
Acheni wivu mtoto wa mbagala kasota kauza mitaani hadi bichi akitembea chini ya jua leo mnamwita ana dharau....
acheni wivuuuuuuuuuuuuuuuuu kafika alipo kwa yeye na sio wewe
Sasa wanamzomea ili iweje? Sehemu ya kuimba Diamond wanaita Kiba ili iweje?? Wee ndo wale wale, na wewe hoja yako ya msingi ni ipi? Kama ipo itetee tuone. Hoja yangu iwe ya msingi au sio ya msingi, watanzania (waliozomea) wana wivu kuwa Diamond kafanikiwa na kamfunika kijana wa kitaa au mchezaji mwenzao wa ndondo. Sasa na wewe Endelea na wivu wako, mwenzio kazomewa ila kapiga hela nyingine ndefu.
Siwezi kuwa na wivu kwa mtu yeyote, kila mtu amezaliwa na destiny yake. Kitendo cha kuanza kuwaza kuwa mtu anaonewa wivu ni udhaifu mkubwa sana.Unajua hela ndefu wewe? Juzi Nimelamba contract ya mil 900 kwenye kampuni yangu nije nimuonee wivu mtu asiyejua kuandika jina lake vizuri?Acha ujinga
Tz hatuna sharia wewee
Unaeza taja kifungu cha sheria kilichovunja kwa kuvaa hizo nguo?
Watanzania hatutaki tuone kijana mwenzetu kafanikiwa. Tuna wivu wa kuku dume. Wivu ndo wawasumbua wanaomzomea. Wanataka wote tubanane huku chini kwenye umaskini. Si mshabiki wake ila sioni haja ya kumchukia.
Roozey alibaki kubweka tu kama mbwa. Wo wo wo mpaka show inaisha.
Acheni wivu mtoto wa mbagala kasota kauza mitaani hadi bichi akitembea chini ya jua leo mnamwita ana dharau....
acheni wivuuuuuuuuuuuuuuuuu kafika alipo kwa yeye na sio wewe
Sasa wanamzomea ili iweje? Sehemu ya kuimba Diamond wanaita Kiba ili iweje?? Wee ndo wale wale, na wewe hoja yako ya msingi ni ipi? Kama ipo itetee tuone. Hoja yangu iwe ya msingi au sio ya msingi, watanzania (waliozomea) wana wivu kuwa Diamond kafanikiwa na kamfunika kijana wa kitaa au mchezaji mwenzao wa ndondo. Sasa na wewe Endelea na wivu wako, mwenzio kazomewa ila kapiga hela nyingine ndefu.
Watanzania hatutaki tuone kijana mwenzetu kafanikiwa. Tuna wivu wa kuku dume. Wivu ndo wawasumbua wanaomzomea. Wanataka wote tubanane huku chini kwenye umaskini. Si mshabiki wake ila sioni haja ya kumchukia.
Nakumbuka miaka mitano iliyopita aliyekuwa
nguli wa filamu Nchini Tanzania marehemu
""Steven Kanumba"" alienda kwenye jumba la
Big Brother....
amini usiamini bila sababu yyte ya maana
watanzania ndo walikuwa wa kwanza kuanza
kumsema kuwa hajui kuvaa, nani alimchagua ,
hajui kiingereza mpaka kufikia kumuigiza!!!
Walisahau hata watu maruufu kama Messi na
wengine wengi hawajui kuongea kabisa lugha
hiyo..
Baada ya kifo chake watanzania hawahawa
wakaanza kusema alikuwa nguli
aliyetuwakilisha vizuri nje ya nchi na kulia
sana!!!kumbe wakati akiwa hai tulikuwa
tunamshusha chini..
Miaka mitano baadae Tanzania imempata mtu
anayeiwakilisha vizuri nje ya mipaka na
kuitangaza vizuri nchi yake..
Pasipokuwa na sababu za msingi (chuki binafsi
tu)anapangiwa njama za kuzomewa na
kuabishwa katika ardhi ya nchi yake ambayo
kwa namna moja au nyingine kuna watu
wameifahamu sababu yake!! Ukiuliza sababu za
wengi wao kumchukia ni mafanikio yake lakini
hata kama humpendi mtu hivi ndo hadi
umzomee kwa kiasi kile !!!
leo na kesho naye huyu akitoka utaskia
hawahawa waliokuwa wanamzomea wanaanza
kusema jamaa alikuwa anatuwakilisha vizuri
sana , ametutangaza sana kimataifa!! lakini
Watanzania wenzake ndio vinara wa
kumuangusha..
Si lazima kila mtu ampende Diamond ila
kutumia nguvu kubwa sana kumuangusha mtu
ni ishara ya uwoga na Roho ya kimaskini...
Nimeamini ""maisha bila unafki hayaendi""
Acheni wivu mtoto wa mbagala kasota kauza mitaani hadi bichi akitembea chini ya jua leo mnamwita ana dharau....
acheni wivuuuuuuuuuuuuuuuuu kafika alipo kwa yeye na sio wewe
Yego Mnyabwilo na wewe ulihudhuria?.kweli ilikuwa hatari mvuta bangi wa atlanta kaamua kuporomosha matusi kama kameza kamusi ya matusi: "bad bitches make some noise" midume inaitikia oyooooooooo yani full vituko....achilia mbali hizo ---- na mazafanta kama ndio wimbo wa taifa....jamaaa anatukana acha kabisa