Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Aah vijana wengi wanafki..unamchukia Dimond halafu wakati cku ya harusi yako ulipigiwa my number one na ukacheza nusu ya kufa, unamchukia Dimond wakati kila ciku kabla ya kulala lazima usikilize wimbo wa ukimuona

hakyanan ikipigwa iyo nyimbo nakimbia ukumbi staki upumbav
 
kosa la diamond ni kuwa na dharau kwa wasanii wenzake,kubwa zaidi ni kusema kama ally kiba anahitaji msaada wake yupo tayari kumsaidia,wakati for the time nyimbo za kiba zipo juu zaidi ya za diamond,na kiba hana makuu,kakaa kimya,anaacha kazi ziongee,nlikua shabiki wa diamond ila sasa nipo kwa kiba.dogo anaweza,hana makuu wala skendo.ni kazi tuu.diamond anamsema vibaya sana huyu bwana mdogo mwenye kipaji cha hali ya juu.huo ndo mshahara wake,asipojirekebisha atazomewa saaaanaaa
 
Da wanajamvi huyu mdogo wetu amewafanya nini watanzania hasa vijana wenzake,naona ameingia kutumbuiza watu wanamzomea na kupiga kelele na kuita Kiba,Kiba,Kiba,japo alijaribu kupiga nyimbo aliemshirikisha Ney wa mitego ndo angalau kidogo watu walikua wakimshangilia Ney,sasa pana nini wanajamvi

Ukitaka kuuliza huyo Diamond kawafanya nini watakuambia ni dharau? Je hizo dharau alimfanyia nani na lini? Au kupata mafanikio kidogo ndio dharau? Pengine ndio maana wasanii wetu hawafanikiwi kwa sababu ya viwivu vya kijinga kama hivi.
 
Umeeleza vema sana, ngoja nirudi nikakupe like, sasa naomba utudadavulie kidogo kuhusu fitna za ma don wa town! Am interested kujua walau kidogo! Ahsante!

Ndugu uko wapi? Mbona hii issue ishaelezwa sana hapa jamvini???

Davido alikua ashachukua advance ya mpunga kutoka Times Promotion kwa ajili ya show ya climax inayofanyika tarehe 1 Novemba hapa Bongo. Na kwenye matangazo ya Radio Times Fm walikua washaanza kumfanyia Promo.
Kwenye ratiba ya Fiesta Davido toka awali hakuwemo. Kama unavyojua ile watoto ya mjini issue ya davido wakaamua kuipiga juu kwa juu. Wakamlambisha mpunga kimyakimya wakasanda, wiki ya mwisho ya fiesta Davido akatangazwa ndani ya mjengo kuwa Fiesta inamhusu.

Times wakawa hawaamini kama itawezekana akaimbe fiesta wakati washamalizana naye mikataba na washamchukulia kibali Baraza la Sanaa(BASATA).

Jumanne Clouds wameenda kumchukulia kibali Basata wakanyimwa wakaambiwa washotoa kibali kwa kampuni nyingine iliyowatangulia wao kwenda Basata. Kwa maana msanii wa nje hawezi panda jukwaani bila kibali cha basata.

Clouds hawakuishia hapo kwenye promo za Fiesta wakaendelea kuutangazia umma kuwa Davido atakua uwanjani anakamua kama kawa.

Ijumaa msanii huyo anatua uwanja wa ndege na kupokelewa na watoto ya mujini. Times fm ndo wakaona kumbe jamaa wako serious, wakaamua kukimbilia maakamani kuweka zuio la mahakama. Siku ya ijumaa mchana(juzi) Mahakama ikatoa kibali Cha kusitisha Davido asipafom fiesta mpaka amalize kesi yake na times fm.

Jiulize jana jmos ofisi hazifanyi kazi sio mahakama wala basata sasa jamaa wameyamaliza vipi mpaka davido apate kibali cha kupanda jukwaani kuimba? Na hiyo clouds wamewafanyia makusudi times fm au tuseme wamewahujumu ili tamasha lao la climax la tarehe 1 novemba lifulie. Jiulize mtu aliyemuona leo davido aki-pafom fiesta anaweza kwenda tena kumuona huyohuyo davido tarehe 1 yan wiki 2 zijazo akipafom climax?

Lakini nasikia kibali kimetoka China kwa vasco da gama. Si unajua tena bongo daresalama ukitaka kuwin cheza dili na wale magwiji.
 
Dogo dharau sana huyo. Na Huo Ndio mpango mzima. Dharau amfanyie wema sio wengine. Kiba yupo juu
 
cdhan kama clouds wanahuckia ktk hilo..jana mchana nlickilza clouds nkamckia mchovu akiliongelea hilo na akawatahadharisha watu kuhusu tukio la kumzomea hyo jamaa
 
Mimi si muumini wa nyimbo za washika suruwali mbele. na ninawachukia sana lakini hayu jamaa ndiye namchukia zaidi hana sifa ya kuigwa na mtu yeyote.mhuni, maraya,kiburi,majivuno,uchezaji usio na sitaha kiujumla hafai ktk jamii ya watu kama sisi rabda wapumbavu tu. Eti anailetea sifa
Tanzania we ----- kweli.

Kwa hiyo Mkuu unapenda wale wanaoshika suruali kwa nyuma?
 
kosa la diamond ni kuwa na dharau kwa wasanii wenzake,kubwa zaidi ni kusema kama ally kiba anahitaji msaada wake yupo tayari kumsaidia,wakati for the time nyimbo za kiba zipo juu zaidi ya za diamond,na kiba hana makuu,kakaa kimya,anaacha kazi ziongee,nlikua shabiki wa diamond ila sasa nipo kwa kiba.dogo anaweza,hana makuu wala skendo.ni kazi tuu.diamond anamsema vibaya sana huyu bwana mdogo mwenye kipaji cha hali ya juu.huo ndo mshahara wake,asipojirekebisha atazomewa saaaanaaa

Lini ulimsikia Diamond kamsema Alikiba? Nyie mashabiki ndio mnapenda kukuza mabifu yasiyokuwa na maana.
 
Safi sana leo umerudi na adabu maana sikunyingine huwa unaandika ka unasuguliwa na huyo domo...hongera kwa kuandika kwa heshima bila kumponda kiba....sasa ni hivi mtaarifu domo kama kuna siku aliharibu ni siku aliomchokoza kiba.hapo alitifua mambo..mwambie kua juu ni sawa ila asisahau waliochini wanaweza mshusha...aache majigambo..
Wasalam

bora umemwambia wanadai kuna watu wamekodiwa ina wote walioenda pale kawakodi ally k kwa hela gani labda?
mondi anajiharibia mwenyewe na dharau zake
mnajus beef la nature na fella wapi natureeee?!!!
diamond nlikua namkubali sana ila nyodo nyodo nyodo afu kauli ya juzi dhidi ya kiba ndo imemealiza
nature alikua anamponda sana fell(WANAUME FAMILY)
leo yuko wapi wenzie kina temba wanatoa nyimbo na zinahit
 
Last edited by a moderator:
Wasanii kuzomewa jukwaani sio ishu ya Tanzania. Linatoke dunia nzima, ukiwakera mashabiki utatukanwa tu
 
What goes around comes around...mimi ni mmoja wa wanaotamani huyu dogo afulie..sijui kwanini tu...bila shaka nitakuwa na roho mbaya tu...but to be honest,huyu kijana ana dharau sana siku hizi,hajui waliompandisha wanaweza kumshusha vilevile!

Dharau gani ndugu mbona mnakuwa na roho za kwanini
 
Muda wa kwenda nilikuwa sina mkuuu nilikuwa nakamata neno moja moja na lugha yao ya ghetto kwenye tv mkuuuu
Bora hukupoteza mda wako kwenda kukaashuhudia haka kajamaa!.


T.I. has served two terms in county jail, twice for probation violations and a federal prison bid for a U.S. federal weapons charge.
 
Back
Top Bottom