Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

hivi kwa kelele hizi za kina blue aweza kweli kuimba live bila back up!!?? watu waelewa anaimba nn kweli!!! duuuh mie nackia daresalaaaaaaam tu

kuna wasanii wameliwalipa clauds ili wapate nafasi ya kuperform
 
Amsaidie kolabo TI hhhhhaa,,wataongeza chumvi tu kua Dai kamfunika TI ooo

leo T,I anafunikwa tu ..watu wamekuja kumshangaa ila shangwe linaishia kwa Mr blu, ally kiba, Ya moto band halafu Diamond anakuja kuvunja rekodi yake
 
wahuni kina mr blue wamefunikaa mby...shoo km hizi ndo nzuri unateka jukwaa
 
Hivi hawa wabongo hawajaona waje na Vick kimani walichofanya?? No playback
 
TI mwenyewe yupo hotelini anafanya kazi kupost picha instagram na kutukana wazungu wanaombwambia amekuja huku kuchukua ebola na kupeleka america
 
yeah blue naona kama kawaida huwa hatuangushi,ndiye aliyepata shangwe za kutosha ok na hawa watoto wa Fella naona wameanza kuamsha.
 
Mashine ya kuokea mikate....

Mpwa uwe na adabu kwa wakubwa.

Kuna dot com mmoja amenielewesha na sasa na mimi naangalia live ila wasanii wetu wanatuangusha kuimba flash back. Ni Shaa peke yake na ndio nimemkubali ameimba live.

Na sasa Yamoto band wako on the stage wanaimba live. Napenda hii.
 
camoooooon yamoto band!!! i never expected watatumia cd jamani, sasa nn maana ya band!
 
Back
Top Bottom