Serengeti fiesta 2014 special thread

Sifa za ally kiba zitadumu kwa cku mbili au tatu maana hana kitu kinachomfanya tumsikie kila cku ila Dai utamskia tuu hata kwa kupitia Wema

kumbe anabebwa na wema sio mziki wake?!!
cheap publcity!!!
 
Fiesta fiesta fiesta fiesta kila mwaka mnaharibuu balaaaa hamjui kuchagua wasanii wa kimataifa kuja tanzania kuperform katika show za fiesta...jana ndo kimeonekana kuwa t.i hakuwa chaguo sahihi watu wamefurahi kumuona lkn jee mashabiki pale wengi walikuwa wa hip hop? T.i ni performer mzuri sana ila mashabiki wa tz hawakuwa wanampa mzuka aliokuwa anautegemea kutoka kwa fans.rapper kama huyu dont expect to return in tanzania for shows again coz anajua mistari ake mashabiki wa tz hawaiwezi na kuielewa ili kumpa mzux zaidi....xoxo next tym prime time promotion and clouds ent group fanyeni research kabla ya kuleta mtu(msanii) kuweni na r&d department kujua mashabiki wanataka wasanii wa aina ganiii....
 

Kama anaubavu aanze life lake, clouds wanazingua

BTW hivi kule uingereza na ujerumani ni clouds pia???
 
Watu bwana et "kiba kawakodi watu wampigie shangwe na wamzomee Baba ubaya""😝😝😝😝😝😝😝😝

Hivi kiba anazo pesa za kuulipa ule umati uliokua unatoa shangwe?

👉👉kubalini tu Mgambo wenu kakalishwa Jana😜😜😜😜😜

TeamKiba4real😍😍😍😍😍😍

Na mshukuru
 

👆👆njama😕😕😕??
Nani kamfanyia njama ww

Aujui kua kuna tofauti kubwa kati ya tandale na kko?

Mgambo Wa jiji kafulia Jana kwasabbu mnenguaji wake Madame ubaya akunengua
 
Dogo nilikuwa namkubali sana, lakini alinikera alipoanza kuwadharau waliomfikisha hapo alipo sasa, ajitathimin upya!
 

Dangote hawezi kuwa historia hata wakiloga
 

Hatutaki dharau zake...kwani yeye ndo wakwanza kuwa juuu????anadharau utadhani ye hanyi..douchebag
 

Hahahaha ndugu hawa jamaa bado wapo tena sana usifikiri jk anaweza kuondoka nao. Labda useme siku ccm ikitoka madarakani ndio wanaweza kuishiwa. Lakini bado naona hata ikija chadema wataendelea kutesa tena kwa sana tu kwani Mbowe ni mshkaji wao ndo usiseme kabisa. Wanampelekeaga dili nyingi sana kwenye ukumbi wake wa Billcanas. Na ukumbuke hata kuisha kwa bifu la Ruge na Sugu ushawishi mkubwa ulitoka kwa Mbowe ili kulinda masilahi ya ukumbi wa disco. Sasa we unaona kuna dalili za wao kutoka kwenye system? Labda kutoka kwao ni pale wananchi mtakapoamua kususa kusikiliza media zao au labda waje cuf. Ni ofisi gani,taasi au kampuni gani wasiojuana nayo hapa nchini? Labda nisijue usalama wa taifa tu. We ukisikia wanakwambia kamata fulsa twende zetu huwa unahisi wanamaanisha nini???

Ndug mjini hapa wanaishi wajanja wajanja kama wale na ndo wanakula good time.
 
kikwete akisema wamuache je??unajua kikwete ni nani kwenye jeshi wewe.unajuaje kama hajaomba ruksa??na unajua sheria ya nguo hizo kuvaliwa kwa matamasha?? nadhan hata wao watakua wanamaana hawawezi kuleta fiesta bila kibali kaka

Kumbe sare za jeshi zinaweza kuvaliwa kwa ruksa!
 
Watanzania hawajitambui. Mitaani wanapenda kitorondo halafu sijui nini

mbona utatudharau sana we bwana mdogo? Watanzania hatujitambui.. mbona unatutukana matusi makubwa hivi? haki ya Mungu ulaniwe wewe pamoja na familia yako..na usirudie kutukana WATANZANIA,uwe unatukana WANYARWANDA WENZAKO
 
Mi kuna kauli moja huwa naipenda sana..."Binadamu ndivyo tulivyo,huwezi kua safi kwa kila mtu..."kuna muda ufike tuwe tunastick kwa kile kitu kimekufanya wewe umfahamu mtu mengine tupakule,kama unemjua mtu sababu ya muziki na unaupenda muziki wake basi habari na scandal zake zote zione na uzipuuzie tu.

Na kingine usanii ni mauzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…