Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Pia nimeona Kiba kapigiwa advert ya kufa mtu, kuna clip wameonyesha clouds ikionyesha Kiba anavalishwa kufia ya ufalme na maandishi The returning of the King.

Watu wamekasirika kwa kuwa diamond aliongea maneno machafu sana kuhusu kiba, kuhusu video wala sio clouds walioiandaa, kwa hiyo Godwin gondwe alivokuwa anamkaribsha msanii wa Moro na kusema msanii pekee toka huko ni clouds wamepanga?
Acha hizo mambo.
 
haya sasaaaa!! na hivyo hip hop sielewagi cjui km taambulia kitu leo
 
Clouds wamejifanya kumuua Diamond wameua shoo nzima watu wamechoka mazima hata Davido anaboa show inamalizika kifala sana sidhani kama Davido atarudi tena Bongo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hizo tambo za clauds jaman.
Mie iliyonifurahisha ni ile ya Breaking News ya Godwin Gondwe akimkaribisha Stamina
 
Pamoja ni kupewa promo lakini Diamond ndio kiboko yao, Kawakomoa Clouds leo

Sifa za ally kiba zitadumu kwa cku mbili au tatu maana hana kitu kinachomfanya tumsikie kila cku ila Dai utamskia tuu hata kwa kupitia Wema
 
kwann inachukua muda sn msanii kupanda jukwaani baada ya mwingine!!! hawakujipanga, ovyooooo!
 
Wivu gani, ili kutusaidia , weka bayani wivu unaingiaje jina la Ali kiba kutajwa baada ya yeye kuingia, mbona mashabiki wa timu pinzani hutaja jina la messi kila ronaldo anapokuwa na mpira kama njia ya kumtoa mchezoni huo ndo wivu?
Kifupi ni kwamba huna hoja ya msingi,

Sasa wanamzomea ili iweje? Sehemu ya kuimba Diamond wanaita Kiba ili iweje?? Wee ndo wale wale, na wewe hoja yako ya msingi ni ipi? Kama ipo itetee tuone. Hoja yangu iwe ya msingi au sio ya msingi, watanzania (waliozomea) wana wivu kuwa Diamond kafanikiwa na kamfunika kijana wa kitaa au mchezaji mwenzao wa ndondo. Sasa na wewe Endelea na wivu wako, mwenzio kazomewa ila kapiga hela nyingine ndefu.
 
Back
Top Bottom