Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Chezea pesa wewe.Davido anapanda Mabarua yenu ya Mahakamani pelekeni kwa mahakimu wenu wasiosoma.

Kulikua na umuhm gani wa davido kuwemo fiesta while last yr alikuewpo...t.I alitosha tu,,huu ni uhun wa ruge kuwavurugia wenzao
 
Da wanajamvi huyu mdogo wetu amewafanya nini watanzania hasa vijana wenzake,naona ameingia kutumbuiza watu wanamzomea na kupiga kelele na kuita Kiba,Kiba,Kiba,japo alijaribu kupiga nyimbo aliemshirikisha Ney wa mitego ndo angalau kidogo watu walikua wakimshangilia Ney,sasa pana nini wanajamvi
 
Mijitu kama haimuelewei davido imetoa macho tu
 
jamani nipo karbu na back stage hapa nasikia diamond analia
 
Leo tumefunga rasmi mjadala wa diamond vs Kiba,muache kumfananisha na watoto
 
Back
Top Bottom