Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Woooooooo naupenda huu wimbooo looooo domooo na davidooo
Jamani remix ya dai hiyoooooooo davido kataka msaada hhhhhaaaaaaaa
 
mi nasubiri skelewu labda ndio nitamuelewa
 
DIAMOND kukaa muda huo bila kubadili vazi. Kweli alikuwa analia
 
Da wanajamvi huyu mdogo wetu amewafanya nini watanzania hasa vijana wenzake,naona ameingia kutumbuiza watu wanamzomea na kupiga kelele na kuita Kiba,Kiba,Kiba,japo alijaribu kupiga nyimbo aliemshirikisha Ney wa mitego ndo angalau kidogo watu walikua wakimshangilia Ney,sasa pana nini wanajamvi

Hiyo ndio faida ya dharau.
 
Da wanajamvi huyu mdogo wetu amewafanya nini watanzania hasa vijana wenzake,naona ameingia kutumbuiza watu wanamzomea na kupiga kelele na kuita Kiba,Kiba,Kiba,japo alijaribu kupiga nyimbo aliemshirikisha Ney wa mitego ndo angalau kidogo watu walikua wakimshangilia Ney,sasa pana nini wanajamvi

Watanzania hawajitambui. Mitaani wanapenda kitorondo halafu sijui nini
 
Jamani watu wamechoka kushangiliaaaaaaaaa wamesimama mnooo wamebananishwa kama matenga ya nyanya
 
Back
Top Bottom