Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

jamani mwacheni Daimond afanye yake na kiba afanye yake.mbona mnataka mmoja wapo ashuke.mie am happy kuona Daimond na kiba wote wapo juu.ntasikitika mmoja wapo akishuka.
 
Diamond anakaribia kujiunga na vinega baada ya kugundua zomea ya jana ilipangwa na clouds baada ya kuwagomea fiesta za mikoani.
 
Binti wewe noma! Unajua naanza kuku kubali jinsi unavyoona hela kudadeki. Aisee hope you break through maana nia unayo sana!! Kelele zote hizi humu ndani wewe ukaona cha muhimu kuliko vyote humu ni wapi.. safi sana.

hahaha ahsante sana lol me naangalia fursa tu
 
Moja ya sifa kuu ya mashabiki wa huyo ni kundi flan la watu kama mahousigali,walioko kwenye balehe au kuvunja ungo na kama mtu ni mzima basi ni wale kula kulala,hawana muda wa kufikiria maisha.

Kwa wenye kujitambua/akili hawapendi mtu mwenye kujikweza kwa mambo ya kijinga.Leo habari zako za ngono zinakuwa ni habari za kitaifa kana kwamba ni yeye tu mwenye mapumbu.

kaka umeua kabisaaa..yanayosikika ni mambo yake binafsi kuliko yale yanayotuunganisha nae yaani muziki.kila siku skendo magazetini.
 
Ndugu uko wapi? Mbona hii issue ishaelezwa sana hapa jamvini???

Davido alikua ashachukua advance ya mpunga kutoka Times Promotion kwa ajili ya show ya climax inayofanyika tarehe 1 Novemba hapa Bongo. Na kwenye matangazo ya Radio Times Fm walikua washaanza kumfanyia Promo.
Kwenye ratiba ya Fiesta Davido toka awali hakuwemo. Kama unavyojua ile watoto ya mjini issue ya davido wakaamua kuipiga juu kwa juu. Wakamlambisha mpunga kimyakimya wakasanda, wiki ya mwisho ya fiesta Davido akatangazwa ndani ya mjengo kuwa Fiesta inamhusu.

Times wakawa hawaamini kama itawezekana akaimbe fiesta wakati washamalizana naye mikataba na washamchukulia kibali Baraza la Sanaa(BASATA).

Jumanne Clouds wameenda kumchukulia kibali Basata wakanyimwa wakaambiwa washotoa kibali kwa kampuni nyingine iliyowatangulia wao kwenda Basata. Kwa maana msanii wa nje hawezi panda jukwaani bila kibali cha basata.

Clouds hawakuishia hapo kwenye promo za Fiesta wakaendelea kuutangazia umma kuwa Davido atakua uwanjani anakamua kama kawa.

Ijumaa msanii huyo anatua uwanja wa ndege na kupokelewa na watoto ya mujini. Times fm ndo wakaona kumbe jamaa wako serious, wakaamua kukimbilia maakamani kuweka zuio la mahakama. Siku ya ijumaa mchana(juzi) Mahakama ikatoa kibali Cha kusitisha Davido asipafom fiesta mpaka amalize kesi yake na times fm.

Jiulize jana jmos ofisi hazifanyi kazi sio mahakama wala basata sasa jamaa wameyamaliza vipi mpaka davido apate kibali cha kupanda jukwaani kuimba? Na hiyo clouds wamewafanyia makusudi times fm au tuseme wamewahujumu ili tamasha lao la climax la tarehe 1 novemba lifulie. Jiulize mtu aliyemuona leo davido aki-pafom fiesta anaweza kwenda tena kumuona huyohuyo davido tarehe 1 yan wiki 2 zijazo akipafom climax?

Lakini nasikia kibali kimetoka China kwa vasco da gama. Si unajua tena bongo daresalama ukitaka kuwin cheza dili na wale magwiji.

Huu uhuni wa Kikwete kuingilia mambo ya kibiashara ya makampuni binafsi kwa sababu Kuna washkaji zake ndio yanasababisha watu wachukie utawala wake. This is pure business, subjectivity haikuwa na nafasi kabisa. Jamaa wanafanya huu uhuni kwa sababu za ushikaji na JK, siku JK anatoka Ikulu November 2015 hii redio itafungwa kabisa na kuchinjiwa baharini. Wameshindwa kupambana na himaya ya Mengi wanaonea wachanga, not fair bana hii radio ya wafu imewatenda wengi Sana. Tena saizi wanashirikiana na Shigongo kutaka hata kuvunja ndoa..
 
bora umemwambia wanadai kuna watu wamekodiwa ina wote walioenda pale kawakodi ally k kwa hela gani labda?
mondi anajiharibia mwenyewe na dharau zake
mnajus beef la nature na fella wapi natureeee?!!!
diamond nlikua namkubali sana ila nyodo nyodo nyodo afu kauli ya juzi dhidi ya kiba ndo imemealiza
nature alikua anamponda sana fell(WANAUME FAMILY)
leo yuko wapi wenzie kina temba wanatoa nyimbo na zinahit

Hahahahahah...leo nna furaha sana nashindwa hata kuandika...aisee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom