Hivi isingetosha tu kwa Msemaji wa Ikulu / Rais kuitisha Press Conference na kutupa Matokeo ya Sensa kisha Maisha yaendelee na Pesa iliyotengwa kwa Tukio / Hafla ya leo itumike kwa Mambo mengine Muhimu na ya Kidharula kwa Maendeleo ( Ustawi ) wa Watanzania na Tanzania yao?

Kuna wakati Watu wengine huwa wanatulazimisha akina GENTAMYCINE tuwadharau kwa kufanya Vitu ambavyo kwa Umasikini mkubwa uliopo kwa Watanzania wala hayakupaswa Kufanyika na hata Watu wenye Akili Kubwa kamwe wasingethubutu kufanya hivyo kwani Taifa linapoteza Pesa kwa Jambo la Kawaida sana..

Kasirikeni ila mkiharibu nitawasema.
Negativity peoples
 
Rais Samia anafuja pesa pasipo sababu ya msingi.
Angepokea hii taarifa ya sensa na kuisoma akiwa Ikulu angeokoa pesa nyingi sana na angeelekeza bajeti hii kwenye mambo muhimu
Huko unakoita kufuja pesa nako kunachochea uchumi.

Imagine wewe Leo ingekuwa kampuni yako inalipwa kutokana na mapambo Tu ya event husika, ungesema kuna ufujaji? serikali ikitumia hela zinarudi Kwa wananchi...ni Bora government spending kuliko kubana bana matumizi kupita kiasi
 
Hivi isingetosha tu kwa Msemaji wa Ikulu / Rais kuitisha Press Conference na kutupa Matokeo ya Sensa kisha Maisha yaendelee na Pesa iliyotengwa kwa Tukio / Hafla ya leo itumike kwa Mambo mengine Muhimu na ya Kidharula kwa Maendeleo ( Ustawi ) wa Watanzania na Tanzania yao?

Kuna wakati Watu wengine huwa wanatulazimisha akina GENTAMYCINE tuwadharau kwa kufanya Vitu ambavyo kwa Umasikini mkubwa uliopo kwa Watanzania wala hayakupaswa Kufanyika na hata Watu wenye Akili Kubwa kamwe wasingethubutu kufanya hivyo kwani Taifa linapoteza Pesa kwa Jambo la Kawaida sana..

Kasirikeni ila mkiharibu nitawasema.
Negativity peoples
 
Kutangaza idadi ya watu mpaka pawepo na misafara ya v-8 wakati uswahili maji hayatoki bombani, hizo pesa wanazochezea wangekuwa wanazitumia hata kuchimba visima ningewaona wa maana, wao wanawaza anasa tu.
Ifike mahali tuwaache tufungue Charities wenyewe na tujichangishe kwa manufaa yetu pia tutapata wafadhili kutoka nje

Hata mataifa makubwa ingali wanapata kila kitu lakini wananchi pia wana Charities kibao mpaka wanajeshi leo wanakusanya hela Poppy Apeal huku

Na wana bajeti kubwa sana lakini zinasaidia sana kwa mambo mengi na hapo wanakusanya mamilioni

Kama hatuna taasisi imara lazima watuchezee hivyo na watapita na magari 100 hata kufungua Bomba la maji

Ni wakati wa kubadili mambo bila kuwategemea mpaka hapo tutakapobadilisha ubwanyenye huu
 
Hivi isingetosha tu kwa Msemaji wa Ikulu / Rais kuitisha Press Conference na kutupa Matokeo ya Sensa kisha Maisha yaendelee na Pesa iliyotengwa kwa Tukio / Hafla ya leo itumike kwa Mambo mengine Muhimu na ya Kidharula kwa Maendeleo ( Ustawi ) wa Watanzania na Tanzania yao?

Kuna wakati Watu wengine huwa wanatulazimisha akina GENTAMYCINE tuwadharau kwa kufanya Vitu ambavyo kwa Umasikini mkubwa uliopo kwa Watanzania wala hayakupaswa Kufanyika na hata Watu wenye Akili Kubwa kamwe wasingethubutu kufanya hivyo kwani Taifa linapoteza Pesa kwa Jambo la Kawaida sana..

Kasirikeni ila mkiharibu nitawasema.
Umeongea jambo la msingi sana
 
Huko unakoita kufuja pesa nako kunachochea uchumi
Imagine wewe Leo ingekuwa kampuni yako inalipwa kutokana na mapambo Tu ya event husika ...ungesema kuna ufujaji?...serikali ikitumia hela zinarudi Kwa wananchi...ni Bora government spending kuliko kubana bana matumizi kupita kiasi
Waza vizuri.
Wangelipwa wakandarasi wachimba visima hii si ingesaidia pesa kuingia kwenye mzunguko na muda huo huo jamii inapata huduma muhimu?

Wapambaji baada ya hapo wanaondoka na mapambo yao na hatuna tulichofaidika.
 
Waza vizuri.
Wangelipwa wakandarasi wachimba visima hii si ingesaidia pesa kuingia kwenye mzunguko na muda huo huo jamii inapata huduma muhimu?

Wapambaji baada ya hapo wanaondoka na mapambo yao na hatuna tulichofaidika.
Kuna mkandarasi ambae halipwi?
 
Kuna mkandarasi ambae halipwi?
Bado hujaelewa hoja yangu.
Hoja yangu ni kwamba pesa zitumike kwa busara na matumizi yenye tija kwa jamii.

Wewe ulisema serikali isibane sana matumizi ili pesa izunguke mtaani na ukatoa mfano wa kampuni ya mapambo.
Nami nikatoa mfano wa kulipa wakandarasi wa kuchimba maji kuwa wakilipwa kuna faida 2.
1. Hao wakandarasi wakilipwa pesa itaingizwa kwenye mzunguko mtaani
2. Hapo hapo tutakuwa tumeboresha huduma za jamii kwa kuwapatia wananchi maji ambalo ni hitaji la msingi
 
Zaidi ya bilioni kadhaa zimetumika, maana kila mtu hapo kalipwa
 
Bado hujaelewa hoja yangu.
Hoja yangu ni kwamba pesa zitumike kwa busara na matumizi yenye tija kwa jamii.

Wewe ulisema serikali isibane sana matumizi ili pesa izunguke mtaani na ukatoa mfano wa kampuni ya mapambo.
Nami nikatoa mfano wa kulipa wakandarasi wa kuchimba maji kuwa wakilipwa kuna faida 2.
1. Hao wakandarasi wakilipwa pesa itaingizwa kwenye mzunguko mtaani
2. Hapo hapo tutakuwa tumeboresha huduma za jamii kwa kuwapatia wananchi maji ambalo ni hitaji la msingi
Mimi nimetoa mfano wa mapambo Kama kampuni moja Tu hapo kwenye event....but kutakuwa na kampuni nyingi tofauti zinaipwa Kwa kila event

Iwe event au iwe visima ... bottomline ni government spending na inarudi Kwa wananchi....


Sometimes tafsiri yako ya "matumizi ya busara" inaweza isiwe sahihi...

Unless useme serikali hailipi matumizi ya msingi inalipa haya ya events zaidi
Point yangu Mimi kila matumizi ya serikali Yana boost uchumi....hata Kama Kwa macho ni matumizi yasiyo ya lazima..
Bado hujaelewa hoja yangu.
Hoja yangu ni kwamba pesa zitumike kwa busara na matumizi yenye tija kwa jamii.

Wewe ulisema serikali isibane sana matumizi ili pesa izunguke mtaani na ukatoa mfano wa kampuni ya mapambo.
Nami nikatoa mfano wa kulipa wakandarasi wa kuchimba maji kuwa wakilipwa kuna faida 2.
1. Hao wakandarasi wakilipwa pesa itaingizwa kwenye mzunguko mtaani
2. Hapo hapo tutakuwa tumeboresha huduma za jamii kwa kuwapatia wananchi maji ambalo ni hitaji la msingi
Nimekuelewa Sana

Nimetofautiana na wewe kitu kimoja
Wewe unaamini kuna matumizi hayana umuhimu. Mimi naamini kila matumizi Yana umuhimu wake.

Kila industry ina watu, iwe visima iwe events industry kote serikali itumie hela
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom