cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,288
- 187,945
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]Helow[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
[emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]Helow[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahahaha kimbia tu asikukute😂😂😂😂Naomba mie nikimbie 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️Kabla hajafikia kwangu najua anaanzia alipoishia mchana kuja kufika nitakua naota kabisa!
Jamaa fundi sana aisee
Irudie sahivi bas shouzzz.Hahahaaaa... usijali best nitarudia badae kidogo
Ahsante shangaziKiatu kizuri mno...
Wewe nafutaaaaIrudie sahivi bas shouzzz.
[emoji1787][emoji1787]Wasukuma wanapenda ma yutong?
Hahha iyo michezo hapana unaweza kuwavunja watu mbavu [emoji1787][emoji1787]Kuna siku tulikuwa na ladies out; eti ooh tufanye mashindano ya kuvuta kamba na kucheza rede; nilihema kama chura
Mayoba ndo niniHuu mzigo
Kama unakula chips zenye mayonaiz
Huuwezi
Hii kitu ugali wa mashishanga
Na mayoba
Hayo ndo mambo nayotaka mama Junia unanisukumia huku kwa jirani zangu hapna sijapenda[emoji16][emoji16][emoji16]Niliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa
Sasa napewa Amani mapenzi yasiyo na mipakaView attachment 2215925
Naamini upo ng'ada silidiYupo tumboni huyu Junia[emoji23]
Ni msumbufu,ananiendesha kama gari bovu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jack Palladino maniyuuuuuuuu
Hadi kuomba namba nako ubabe nilicheka Sana[emoji23][emoji23][emoji23]Wababe tu kila sehemu Hawa jamaa
Kwakweli mupo mupoo! Nakubali.Piga kazi kwanza mkuu sie tupo tu [emoji8][emoji12]!
Asante madamAsante mamy umejilipua kweli kweli... mtoto jicho linaita [emoji8]
Na maombi yote yale mnaachanaje aisehh [emoji23]Niliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa
Sasa napewa Amani mapenzi yasiyo na mipakaView attachment 2215925
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara ya ngapi unauliza? Unataka tuzoom brand ya TV ? Au tuone ni inchi 32 iko kwa wall? Au tuone hiyo tekno?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kule natokaga kapa[emoji41]Wapenda ubuyu na umbea, tayari nshaweka kitu kule celebrity.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha refa kama refa. Hii miili tusiifanyie uzembe aiseeHahha iyo michezo hapana unaweza kuwavunja watu mbavu [emoji1787][emoji1787]
Na hivi nilivobonge nikianguka nitakuwa kama kiroba sema netball nikicheza dakika tano nahamia kuchezesha najifanya referee [emoji23][emoji23]kumbe Mambo mazito
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app