cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Hahahaha kimbia tu asikukute😂😂😂😂Naomba mie nikimbie 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️Kabla hajafikia kwangu najua anaanzia alipoishia mchana kuja kufika nitakua naota kabisa!
Jamaa fundi sana aisee
Irudie sahivi bas shouzzz.Hahahaaaa... usijali best nitarudia badae kidogo
Ahsante shangaziKiatu kizuri mno...
Wewe nafutaaaaIrudie sahivi bas shouzzz.
Hahha iyo michezo hapana unaweza kuwavunja watu mbavuKuna siku tulikuwa na ladies out; eti ooh tufanye mashindano ya kuvuta kamba na kucheza rede; nilihema kama chura



kumbe Mambo mazitoMayoba ndo niniHuu mzigo
Kama unakula chips zenye mayonaiz
Huuwezi
Hii kitu ugali wa mashishanga
Na mayoba
Hayo ndo mambo nayotaka mama Junia unanisukumia huku kwa jirani zangu hapna sijapendaNiliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa
Sasa napewa Amani mapenzi yasiyo na mipakaView attachment 2215925



Naamini upo ng'ada silidiYupo tumboni huyu Junia
Ni msumbufu,ananiendesha kama gari bovu
Hadi kuomba namba nako ubabe nilicheka SanaWababe tu kila sehemu Hawa jamaa



Kwakweli mupo mupoo! Nakubali.Piga kazi kwanza mkuu sie tupo tu!
Asante madamAsante mamy umejilipua kweli kweli... mtoto jicho linaita![]()
Na maombi yote yale mnaachanaje aisehhNiliforce kujificha kule kumbe Chaka langu ni hapa
Sasa napewa Amani mapenzi yasiyo na mipakaView attachment 2215925

Mara ya ngapi unauliza? Unataka tuzoom brand ya TV ? Au tuone ni inchi 32 iko kwa wall? Au tuone hiyo tekno?
![]()







Kule natokaga kapaWapenda ubuyu na umbea, tayari nshaweka kitu kule celebrity.
![]()



Hahahahahaha refa kama refa. Hii miili tusiifanyie uzembe aiseeHahha iyo michezo hapana unaweza kuwavunja watu mbavu
Na hivi nilivobonge nikianguka nitakuwa kama kiroba sema netball nikicheza dakika tano nahamia kuchezesha najifanya refereekumbe Mambo mazito
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app