Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Socks umevaa au ndio tukuache na makapu yako kwanza?kaoge upake mafuta ndio uje
Hehe
Socks umevaa au ndio tukuache na makapu yako kwanza?kaoge upake mafuta ndio uje
Hehe
Yeah!
Kusema kweli ni lizuri tuacheni utani. Hata ukitinga nalo Bariadi wanajua kuwa mwanaume kweli umekuja na chombo!![]()
Mwambie nitamnyima biscuitNipo Auntie Junia
Kajunia hakataki nipige selfie

Mbona kitambi hakipo kabisa!??asante.... tatizo kitambi kimegoma Kabisa kinanikosesha pozi za kuvaa vitop vyakubama kabisa

nasubiria yako sasa ulisema mida ndio hii!
Hahahaha Msinifanye km Yule dereva wa sauli aseeKuanzia leo memes zinazohusu wanaume wenye dimples zinakuhusu![]()
weee Kipo kama chote nivile naibia pozi tu🤣🤣🤣🤣😂😂!!Mbona kitambi hakipo kabisa!??
We huvijui vitambi wewe![]()
Amina🙏
Yupo tumboni huyu JuniaMwambie nitamnyima biscuit
Auntie natak selfie
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Naona anapenda ladha za matunda tofauti tofauti haijalishi kama mti una umbo zuri kiasi gani!Sasa Yule jamaa wa muongozo alifeli wapi mtoto mkali hivi asee?
Au ndy kwenye miti...


Kwa sasa nafanya street evangelism , huduma Mungu akijalia hapo mbeleni nitaanzia Ethiopia kama base HQ , karibu sana mwana wa Mungu


😁😁😁 Sasa ivi navua kondoo sijawa na kituo cha kudumu.. siku nikiwa hapo karibia na kwako nitapokuwa napiga gombo nitakushtua uje ushuhudie udhihirisho wa uwepo wa Mungu kupia neno lakeKhaa hutaki nije kuabudu kanisani kwako?
Nikiweka hapa picha ya dada yangu utacheka.weee Kipo kama chote nivile naibia pozi tu!!
Huko si hadi itokee sasa. Tofauti na huduma ingekuwepo tu hapahapa Tz; unaamua tu leo ngoja nikapokee baraka kwa Baba MchungajiHuwezi kwenda Ethiopia?![]()
Hahaha kweli Sitathubutu Msukuma !Usivae hivi siku unakwenda kusimamia mitihani. Wavulana karibia wote watafeli!
Mm kesho mvivu wa picha aiseenasubiria yako sasa ulisema mida ndio hii!

Aisee nitakuja. Atakayekuwa anacheza sana muda wa kusifu; ndiyo Mama Pastaa sasa😁😁😁 Sasa ivi navua kondoo sijawa na kituo cha kudumu.. siku nikiwa hapo karibia na kwako nitapokuwa napiga gombo nitakushtua uje ushuhudie udhihirisho wa uwepo wa Mungu kupia neno lake
Lk 15:7-10 SUV
Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na kenda ambao hawana haja ya kutubu. Au kuna mwanamke gani mwenye shilingi kumi, akipotewa na moja, asiyewasha taa na kufagia nyumba, na kutafuta kwa bidii hata aione? Na akiisha kuiona, huwaita rafiki zake na jirani zake, akawaambia, Furahini pamoja nami, kwa kuwa nimeipata tena shilingi ile iliyonipotea. Nawaambia, Vivyo hivyo kuna furaha mbele ya malaika wa Mungu kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye.
Ni kweli. Tena iwe nyeupe halafu imepanda juu!Wasukuma wanapenda ma yutong?
Last born ndiyoNinune? Kwa vile mi last born ama?
Akinuna mi ni kumpelekea moto tu shwaini zake!![]()
,,,,unamnunia hadi achanganyikiwe



wewe tena,kwenye Dupa huwezi nuna
