Mtumishi chukua soda nitalipa


Nimepitwaaa yaan daaaah.Beautiful![]()
Dimplez.




The night is dark but I am not forsakenThink about the price He paid
And the gift of life He gave
Think about the moon and sun
And the air we breathe
You spoke everything to being
Heaven Sent
U got it personal, uwe unanyamaza una niniMara ya ngapi unauliza? Unataka tuzoom brand ya TV ? Au tuone ni inchi 32 iko kwa wall? Au tuone hiyo tekno?
![]()




Ni hatari refa nikisimama ndo nimesimama
Yan wanachukia balaa umri umeenda ya nn kujihangaisha
... ananikanda huku mabegani, ananishika na hapa...Siku zote maumivu maumivu
Yapo kutufunza
Tukipata furaha, jinsi gani ya kuitunza
Huko nyuma hukumu
Hukumu zilisha nikumba
Na mateso kung'ang'ania
Pendo usipopendwa
Niliforce kujificha kule kumbe
Chaka langu ni hapa
Sasa napewa amani
Mapenzi yasiyo na mipaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsanteeeeeh mama malezi,




Ipi hiyoooo?
Wewe kamrembo hujamboRafiki kheri ikawe juu yako![]()
Hao hata kubebisha hawaweziHayo ndo mambo nayotaka mama Junia unanisukumia huku kwa jirani zangu hapna sijapenda
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Nshakukamata weka hapa.Naomba mie nikimbieKabla hajafikia kwangu najua anaanzia alipoishia mchana kuja kufika nitakua naota kabisa!
Nikule mara ngapi?Naamini upo ng'ada silidi
Hadi ule kiapo cha ndoa
Kuna siku tulikuwa na ladies out; eti ooh tufanye mashindano ya kuvuta kamba na kucheza rede; nilihema kama chura







Ya asubuhi unibariki kibonge niwe kma wewIpi hiyoooo?


Tayariiiiiiih.Wewe nafutaaaa
Aisee