Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,209
- 183,048
Mie pia kipo Anne ngoja siku niamue kionekane nipige picha ushtuke kwa mshangao 😂
Wewe huna kitambi trust me.
Namzungumzia dada yangu mwenye mwili kama wako na ana mtoto mmoja
Ana kitambi,kinajichora kwenye nguo kama Cha waheshimiwa wabunge