Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Halafu kule code ngumu Sana jamaniTayariiiiiiih.
Halafu kule code ngumu Sana jamaniTayariiiiiiih.
Watu wabayaNa maombi yote yale mnaachanaje aisehh![]()

Wee nenda kule katafune ubuyuuuu.Kule natokaga kapa
Sijui kwa vile ninamastress,naona umbea unanikataa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app





Sijambo, mzima??Wewe kamrembo hujambo





mbna hakna kitu kibongee.😂😂Ni hatari refa nikisimama ndo nimesimamaYan wanachukia balaa umri umeenda ya nn kujihangaisha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ndo vizuri sasa mama malezi.Halafu kule code ngumu Sana jamani





Nimeshaifuta. Quote hapahapa😂😂😂Hivi ni App yangu tu haiquote picha au na zenu
HS nashindwa kuquote picha yako
Kanuni mpya unazijua unatakiwa uweke yako kuiomba pic iliyokupitaNimepitwaaa yaan daaaah.
Nahisi nimetoka kapa. Fanya namnaNdo vizuri sasa mama malezi.![]()
Mafuta anasa mtumishi
We sophy ni refa wa michezo ganiNi hatari refa nikisimama ndo nimesimamaYan wanachukia balaa umri umeenda ya nn kujihangaisha
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Nitanyamaza kwa wengineU got it personal, uwe unanyamaza una nini![]()
Yaani ni shida ndo maana wanawake zao Wana adabu Sana aiseeAisee
Ukiwa naye umeamia,,, mapenzi yatakuwa kama gwaride la kuruta
VichukueeAhsanteeeeeh mama malezi,
Tubadilishane vidole tyuuh.
Mzima za wapiSijambo, mzima??
Mnajuana nyieNetballWe sophy ni refa wa michezo gani