reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,306
Yaani kuna joto
Nimekubamba bina..
Ulikuja kimyakimya![]()


nilikuja kuzika then sikukaa sana maana sina dada wa kazi nikawahi rudiYaani kuna joto
Nimekubamba bina..
Ulikuja kimyakimya![]()


nilikuja kuzika then sikukaa sana maana sina dada wa kazi nikawahi rudiUkijani unanonegeshaga pichaa
KaribuuKujifungia kule kwenye Jukwaa la Biashara kumbe ni ushubwada kiasi hiki,napishana na Kuku na Sungura na mbuzi,aseee watanisamehe.
Naweka kambi eneo hili,huu uzi unakupa surprise za hapa na pale hadi raha
Kujifungia kule kwenye Jukwaa la Biashara kumbe ni ushubwada kiasi hiki,napishana na Kuku na Sungura na mbuzi,aseee watanisamehe.
Naweka kambi eneo hili,huu uzi unakupa surprise za hapa na pale hadi raha



Ayyyyt....utanikuta ndani nakusubiria. 🙂Nipo njiani.. nafika chap nilikuwa nashuka mlimani 😊😊
Ipo we popote ulipo tembelea mitaa ya uswahilini haswaa,ulizia unapataZa dukani zilimtoa mwanangu mmoja malengelenge!hina za mti nzuri ila ndo upatikanaji sasa! Kuna sehemu naujua upo Kongowe sasa sijui km kipindi hiki upo au washang'oa!maana nilichuma last year
Unapotea sana nawewe bwanasemeji!Nimeupiga 'mkubwa 😉
😊😊😊 si hapo hapo dk sifuri tuAyyyyt....utanikuta ndani nakusubiria. 🙂
Husemi uongo mzee mwenzangu.Ndiyo mkuu ni maji. Ni ka-neighborhood kapya kalikozungukwa na maji...
Kwa nini unayaogopa hivyo? Ulishawahi kuzama au ni hofu ya kawaida tu ya maji (aquaphobia)?
Fanya kila juhudi ujifunze kuogelea kama hujui. Ni skill ya muhimu sana ambayo hujui ni wakati gani utaihitaji. Siyo kamanda Pep amekuchukua kwenda kula bata kwenye hoteli ya nyota 10 halafu unashindwa hata kuogelea kwenye swimming pool![]()
Ni hospital fulan hivi iko mjini, iko mitaa ya karibu na msikiti wa wapemba kule karume. Km unaenda town
Nishakua sweet 16. Sasa hivi vijana nikipita hawaniiti tena "bonge"Hahaaa!!naona wataka kua sweet 19ila kabode kazurii hako!Niko Dom,nilikuja kuzika Mara 1





.Hii Nkamu hii kuna namnaInabidi niombe ruhusa kwa Pep ili nizichonge hizo kucha nkamu
Oh nimekuelewanilikuja kuzika then sikukaa sana maana sina dada wa kazi nikawahi rudi
Hahaha Shem hiyo nkamu ipo salama kabisa kwa matumizi ya mtu yeyote. "Ndugu"Hii Nkamu hii kuna namna
Wacha nicheki na shem wangu Heaven Sent anipe mwongozo nini kimejificha kwenye hili jina