Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 2144329
Naona traffic Police wamenisimamisha hapa, wanasema tairi za tela langu zimeisha πŸ˜€πŸ˜‚

Karma , Heaven Sent , financial services , Saint Anne , Bujibuji Simba Nyanaume fanyeni mpango mnunue Pickups za kubebea mazao yenu shambani lakini sio Ng'ombe.

Kwetu kule Ng'ombe ni kwaajili ya kula nyama, maziwa na kuolea tu sio kubebea mizigo πŸ™ŒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
Sisi kwetu ng'ombe ni Kwa ajili ya kulima mashamba
 
wew na wachambuzi wako UCHWARA kule jukwaani kwenu leo kimya ...sisi tupo kwenye rebuild Ni special Case right now
Man mna rebuild Nini sasa nyie?
Na profesa wenu wa gengeni ..
Yaani hata tukiwapa mcheze na Watu wa Tandahimba sasahivi wanaibuka ushindiπŸ˜ƒ.

Kama nyie wanaume basi tutoeni pale juu.
 
Nimesema Mimi huyu dada siyo tu kwamba ni boss lady,Bali ni mtu na nusu na kipande piaπŸ”₯❀️

Nani mwingine anafikiriaga kuwawezesha watu lunch??
Huyu ni special woman duniani hapa.


Yaani hizi vocha tu unaweka zinatubariki mno,
Mimi hata nisipopata nafurahi sana tu Kwa waliopata Kwa sababu naijua furaha ya kupata hizi vocha.
Mtu anaweza akaona kama ni kitu kidogo lakini kiuhalisia huwa inaketa kavibe Fulani kazuri kubahatika vocha ya humu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ₯±πŸ€£ Pep huyu mtu leo umemfanyeje lakini!!!
 
Man mna rebuild Nini sasa nyie?
Na profesa wenu wa gengeni ..
Yaani hata tukiwapa mcheze na Watu wa Tandahimba sasahivi wanaibuka ushindi.

Kama nyie wanaume basi tutoeni pale juu.
Yule profesa ndio kamfundisha ukocha klopp alimuokota bar,,Msimu ujao nyie livakuku genge la wahuni tutawapiga nje ndani
 
Back
Top Bottom