Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Uwiii nitakupa basi taarifa rasmi badaeSina taarifa 🚶🏻♀️🚶🏻♀️
Uwiii nitakupa basi taarifa rasmi badaeSina taarifa 🚶🏻♀️🚶🏻♀️
Hahahaa pole sanaAsubuhi yote hii hata maji sijanywa anataka kunilipizia nini tena? 🤣
Kamwili haka ndo kazuri. Nilikua nishaanza kuwa shangazi eti. Uko Dar?sio kwa kamwili hako...loh loohh!pliiiz I want zile nyama nyama bwana zinaisha sanaa
Naku dere tuAngalia yasije tu kukugeukia
MgaganiAsubuhi yote hii hata maji sijanywa anataka kunilipizia nini tena?![]()






muuaji nipo hapa, afu sijari wala nn.Kamwili haka ndo kazuri. Nilikua nishaanza kuwa shangazi eti. Uko Dar?






Hahaaa!!naona wataka kua sweet 19Kamwili haka ndo kazuri. Nilikua nishaanza kuwa shangazi eti. Uko Dar?


ila kabode kazurii hako!Niko Dom,nilikuja kuzika Mara 1

atuli na mkewe huyo mubaba!!Za dukani zilimtoa mwanangu mmoja malengelenge!hina za mti nzuri ila ndo upatikanaji sasa! Kuna sehemu naujua upo Kongowe sasa sijui km kipindi hiki upo au washang'oa!maana nilichuma last yearMimi napenda kweli kupaka hinna kwenye kucha na nunua zile ambazo zinauzwa madukani zimeandaliwa tayari na kweli kucha zangu ni fupi nikitaka kupaka rangi naongezea kidogo
Malaika tunaendelea kujaza kibubu 😎😎😎
Mubaba anataka onja dogo dogo 😂atuli na mkewe huyo mubaba!!