Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG-20220325-WA0492.jpg
 
Boss mambo hayooo CONTROLA Asante cocastic naenda print hii comment😋
Asante sana Movies Store nafarijika nikiona sumu zimetulia mguuni,

Najua hujapita Pale kipande ya Mwenge,fanya kachungulie kuna stock

nimeishusha pale ni ya moto moto hukosi pair kadhaa zako na za dogo janja

Kama kawaida yangu,ukienda wallet iwe imekaa vyema maana zile ni zaidi ya SUMU.

Miguuni nimetupia masendeu yangu, nani anayaona kwani! Kinyozi hajinyoi nadhani unaelewa...
 
Hahaha Shem hiyo nkamu ipo salama kabisa kwa matumizi ya mtu yeyote. "Ndugu"
Kwahiyo nisirushe ngumi shem wangu faida sana?
Btw ulimissika sana
Huwezi amini nimefika hapa jamvini kwaajili yako...

Nilikua nipo hovyo hovyo sana nikagundua I was missing someone.

As it plays out...huyo mtu ni wewe.

Najua mdogo ako atabisha
 
Back
Top Bottom