Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
Umeanza pigo za Lizzy 👀
Umeanza pigo za Lizzy 👀
Ndio pigo zangu japo sijamfikiaUmeanza pigo za Lizzy![]()
AmeeeeeenAimeeeeeeeeeennnn Hallelujah!!!!

🤣Wee Anne kwa kuchota watu utamuweza basii!!Hizi sifa hizii
Anasifia mpaka anazidiWee Anne kwa kuchota watu utamuweza basii!!
Yaani wewe dahHapa nataka nikanywe maji niendelee![]()









Kwahiyo hapo unashiba kabisa?Ndio pigo zangu japo sijamfikia
Sasa ninazomsifu Mungu ndio hazipimikiAnasifia mpaka anazidi
Hadi nilibakishaKwahiyo hapo unashiba kabisa?
Amini nakuambia tutakuweka mikononi mwa Mungu leo usiku tukipiga goti kwenye maombi mimi na mtumishi mwenzangu PepWee Anne kwa kuchota watu utamuweza basii!!
Wee Anne anajua kujaza bichwa Mtu sijawahi ona..Anakua Anakuchota tu akili!!🙄Yaani wewe dah
Huwa nachekaga sana mtu akiingia kwenye anga zako halafu hiyo siku Livapuu wawe wameshinda na kale kavulana kako kawe kametupiamo goli. Ni burudani tosha yaani![]()
Siku hizi kuna super tall handsome wa kuitwa Matip Joel..Mahaba yamehamia huko.Yaani wewe dah
Huwa nachekaga sana mtu akiingia kwenye anga zako halafu hiyo siku Livapuu wawe wameshinda na kale kavulana kako kawe kametupiamo goli. Ni burudani tosha yaani![]()
Uzuri sifa zote ni za kweli.Wee Anne anajua kujaza bichwa Mtu sijawahi ona..Anakua Anakuchota tu akili!!![]()
Hahaha Anne mbavu zangu tafadhali 🤣🤣🤣😂😂😂Uzuri sifa zote ni za kweli.
Nani anabisha????