Astaghfirllah🙆♂️Waswanu bar wana kitimoto amazing 😻
Astaghfirllah🙆♂️Waswanu bar wana kitimoto amazing 😻
Ebu tuone..Tayariiii
Imeisha hiyo boss ladyNa wana selfika pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!! Binafsi siwezi kosaa weeeehhh!!
Kabisa yanii nitaongea na fashionist mama ma mchungaji Heaven Sent hii sekta anaitendea haki vizuri kabisa!
Alishajibu mbona kuwa si yeyeAkijibu
Nitag![]()
Waiona hiyo......
Kuna mabalaa dunianihahahahaha.dah
Leo nipo upande huu sasa cocastic Hii ungevalia nini?Raba nimeielewa yaan nikipiga jeans afu shorts, tishet langu, kofia, na hiyo raba chini, wee watu wataniambia nn? Dunia yote yangu.![]()
Ni wewe unaimba amapiano?🤣🤣Waiona hiyo......
Hiyo hiyo hiyo.. wainoa hiyoo...😅😅
Ni haka ka ginger ale nilikokunywa kananipelekesha balaaa🤣🤣🤣🤣Ni wewe unaimba amapiano🤣🤣
It’s sunnah 🚶🏻♀️Astaghfirllah🙆♂️
Hapa mbna km napajua vile.?
Wapi?Hapa mbna km napajua vile.?
Hiijapa trousers ya jeans, ila ndefu, na tishet 1 matata sana.Leo nipo upande huu sasa cocastic Hii ungevalia nini? View attachment 2163956



Kujifungia kule kwenye Jukwaa la Biashara kumbe ni ushubwada kiasi hiki,napishana na Kuku na Sungura na mbuzi,aseee watanisamehe.
Naweka kambi eneo hili,huu uzi unakupa surprise za hapa na pale hadi raha






khaaaaahNi hospital fulan hivi iko mjini, iko mitaa ya karibu na msikiti wa wapemba kule karume. Km unaenda townWapi?
Nipo njiani.. nafika chap nilikuwa nashuka mlimani 😊😊9.8ms squared Njoo tupitue Menu & Design ideas za 🍵 ☕ bar yetu 😄View attachment 2163902
Acha yamkuteMubaba anataka onja dogo dogo![]()